Kwanini Konyagi ndogo na Valeaur zimeadimika?

Riziki Mohammed

Senior Member
Mar 4, 2017
118
205
Ni wiki ya 2 sasa Wauzaji wa jumla, Riquor stores na mabaa hayana Konyagi ndogo na ile Valeur ya chupa. Au ndio na zenyewe mmezipiga ban? Maana walipofungia viroba, hizi chupa ndogo ndogo ndio likawa kimbilio na ndio nikajua kumbe watu wana hela! coz sasa mbona walikuwa wanakunywa viroba! But anyway, swali ni kwamba kwa nini ziadimike hasa Konyagi ndogo?

Au ni mkakati ili wapenzi wa bidhaa yenu tuhamie kwenya MAJIBAPA? Sasa tutafanyeje kazi kama tutaanza kupiga majibapa? Acheni ujinga.
 
Ni wiki ya 2 sasa Wauzaji wa jumla, Riquor stores na mabaa hayana Konyagi ndogo na ile Valeur ya chupa. Au ndio na zenyewe mmezipiga ban? Maana walipofungia viroba, hizi chupa ndogo ndogo ndio likawa kimbilio na ndio nikajua kumbe watu wana hela! coz sasa mbona walikuwa wanakunywa viroba! But anyway, swali ni kwamba kwa nini ziadimike hasa Konyagi ndogo?

Au ni mkakati ili wapenzi wa bidhaa yenu tuhamie kwenya MAJIBAPA? Sasa tutafanyeje kazi kama tutaanza kupiga majibapa? Acheni ujinga.
Sasa kama unasema kabisa kuwa walivyopiga stop viroba kimbilio ikawa ni hizo chupa ndogo huoni kuwa hiyo ndio sababu? Inabidi waongeze uzalishaji(production) maana mahitaji(demand) yamekuwa makubwa.
Halafu 'riquor' ni nini?
 
Sasa kama unasema kabisa kuwa walivyopiga stop viroba kimbilio ikawa ni hizo chupa ndogo huoni kuwa hiyo ndio sababu? Inabidi waongeze uzalishaji(production) maana mahitaji(demand) yamekuwa makubwa.
Halafu 'riquor' ni nini?

Riquor stores ni maduka ya vinywaji kwa wwnye hela tu...sio Bar, so unanunua halafu unaenda kulewea kwako. Vinywaji vyote vya kisasa na vya ulaya unavipata Liquor store, nina kabachori wangu pale kariakoo ana hilo duka limesheheni vidhaa hadi huwa natamani kumteka!!! Nikienda pale ntakuta John walker original, Jack lives here, etc.
Riq
 
Wanywaji wa "riquor" wameanza ulalamishi. Wanywaji wa "liquor" wanasikitika. Kumbe vina umuhimu kwa wenye mapenzi mema navyo?
 
Screenshot_20170416-052910.png
Screenshot_20170416-052919.png
Sio kama zimepotea.kwa sasa fake azipo.so zilizopo madukani./kwenye bar ni originals ambazo uzalishaji wake sio mwingi sana.tulikuwa tunakunywa sumu kwa muda mrefu
 
Back
Top Bottom