Acha utoto, hivi kuna shahada ya uprofesor dunia hii?Tarehe 23.10.2014 Mheshimiwa Raisi Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alitunukiwa shahada ya heshma ya Uprofesa na Chuo kikuu Cha kilimo China.
Huyu anastahili kuwa addressed Kama Professor Jakaya Kikwete na sio Doctor Jakaya Kikwete. Au nakosea?
View attachment 3008495
PhD ya heshima hauanzi na Dr kwa mujibu wa utaratibu.Tarehe 23.10.2014 Mheshimiwa Raisi Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alitunukiwa shahada ya heshma ya Uprofesa na Chuo kikuu Cha kilimo China.
Huyu anastahili kuwa addressed Kama Professor Jakaya Kikwete na sio Doctor Jakaya Kikwete. Au nakosea?
View attachment 3008495
Sasa mbona wanamuita Dr Samia!!!PhD ya heshima hauanzi na Dr kwa mujibu wa utaratibu.
Mfano
Mr.Maharagwe Chai, PhD(Hon.causa) na si, Dr. Maharagwe Chai.
Hilo la uprofesa wa Heshima sina uelewa nalo wajuvi watatujuza.
Kwa Mchina chochote utakacho utapewaAcha utoto, hivi kuna shahada ya uprofesor dunia hii?
Ukute hata hujui maana ya Professor!!Tarehe 23.10.2014 Mheshimiwa Raisi Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alitunukiwa shahada ya heshma ya Uprofesa na Chuo kikuu Cha kilimo China.
Huyu anastahili kuwa addressed Kama Professor Jakaya Kikwete na sio Doctor Jakaya Kikwete. Au nakosea?
View attachment 3008495
Ni aibu ndio maana kakaushaTarehe 23.10.2014 Mheshimiwa Raisi Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alitunukiwa shahada ya heshma ya Uprofesa na Chuo kikuu Cha kilimo China.
Huyu anastahili kuwa addressed Kama Professor Jakaya Kikwete na sio Doctor Jakaya Kikwete. Au nakosea?
Kmmkee...Tarehe 23.10.2014 Mheshimiwa Raisi Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alitunukiwa shahada ya heshma ya Uprofesa na Chuo kikuu Cha kilimo China.
Huyu anastahili kuwa addressed Kama Professor Jakaya Kikwete na sio Doctor Jakaya Kikwete. Au nakosea?
Hakuna uprofesa wa heshima duniani. Hiyo walimbambikiza mzee wetu kwa kujua ushamba wetu tu.PhD ya heshima hauanzi na Dr kwa mujibu wa utaratibu.
Mfano
Mr.Maharagwe Chai, PhD(Hon.causa) na si, Dr. Maharagwe Chai.
Hilo la uprofesa wa Heshima sina uelewa nalo wajuvi watatujuza.
Shahada ya Uprofesa??????Tarehe 23.10.2014 Mheshimiwa Raisi Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete alitunukiwa shahada ya heshma ya Uprofesa na Chuo kikuu Cha kilimo China.
Huyu anastahili kuwa addressed Kama Professor Jakaya Kikwete na sio Doctor Jakaya Kikwete. Au nakosea?
Huyu nilijua PhD holder kumbe heshima, vijana wataacha KUSOMAMr.Maharagwe Chai, PhD(Hon.causa) na si, Dr. Maharagwe Chai.
Hizo Dokta akiondoka madarakani hutosikia wakimuita Dokta, watamuita kwa Jina lake tu km lilivyo yaan udaktari wa UONGO unaishia akimaliza urais, hao wanamuita Dokta Dokta wanatetea Ugali wao tuSasa mbona wanamuita Dr Samia!!!
WanakoseaSasa mbona wanamuita Dr Samia!!!