Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,708
- 5,637
Sasa huyu wetu mwenye tano za heshima mbona anaanza na Dr na hiyo Hon causa haweki kabisaPhD ya heshima hauanzi na Dr kwa mujibu wa utaratibu.
Mfano
Mr.Maharagwe Chai, PhD(Hon.causa) na si, Dr. Maharagwe Chai.
Hilo la uprofesa wa Heshima sina uelewa nalo wajuvi watatujuza.