Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
Wabunge wengi wa ccm wanakabiliwa na kesi za wizi wa kura na kesi hizo zilifunguliwa na wapinzani mara tu mshindi wa ccm alipotangazwa sasa inakuwaje hukumu kuchelewa hadi sasa na kesi ya Lema imetolewa hukumu fasta fasta? Sijawah kuskia hukumu ya kesi ya wizi wa kura iliyomvua ubunge mbunge wa ccm hata kama ni kweli alichakachua matokeo, Why?