eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,656
- 13,797
Thubutu, hao bavicha kwa kujikomba kwa wakenya hawajambo. Wako tayari kuwauzia nchi wakenya.
bavichwa ndiyo zao hizo. huoni kaka yao alivyokuwa akihangaika kuwakuwadia acacia migodi.
Thubutu, hao bavicha kwa kujikomba kwa wakenya hawajambo. Wako tayari kuwauzia nchi wakenya.
Sawa. Lakini kumbuka penye Moshi. Ndo penye moto. Baada tusije tukalalamika.
Sioni maendeleo ya Jumuiya ya Afrika mashariki.
Nafikiri tungejitoa. Ili kila mtu aishi kivyake.
UUNGWANA SI UNYONGE.
Ongea na kiongozi mwenzio. Bwana imekuwaje wananchi wako wameingiza mifugo nchini mwangu?
Mwenzio atakujibu. Labda wamekosea kwa bahati mbaya. Nitawakanya. Kesho wasirudie.
Na hata kama kuna uhalifu umetokea. Unaweza ukamwambia akufidie.
Ili umpe ng'ombe wake.
Naamini ili jambo lingeisha bila kuyumbisha uhusiano wetu.
Wewe beberu tu.....kichwa chako kimevimba na mavi tu....logic gani unatumia? Ndiyo maana Dr Mwakyembe amewadharau sana maTz kwenye hoja mitandaoni akasema afadhali Kenyans.Elimu ya nini ?
Ng'ombe wameingizwa nchini kwa uvunjwaji wa sheria tena wameingizwa kwenye hifadhi ..mtu akivunja sheria za nchi ,sheria zinasemaje
Kwani serikali iliingia Kenya na kuwaiba au baada ya sheria kuvunjwa wakachukua hatua?
Ndio umejiona umeandika point mwenyewe ,genius eti Tanzania tuna safari ndefu sana
Mfano wako umenichekesha..Ya jumuiya. Yanamalizwa ki Jumuiya.
Kuku wa jirani yako ameingia kwenye banda lako.
Utamkamata na kwenda kumuuza au utamrudishia mwenyewe?
Eti Malawi ....ipi tena mupo nayo kwenye mugogolo wakufa na kupona kwasababu ya ziwa yawo?hiyo ingekuwa sawa kwa Zambia au Kongo au hata Malawi, lkn si Kenya. mwaka 2007 walijipanga kuja kufanya ambush Moshi kuokoa majambazi wenzao. thanks to our intelligence system. kilichowatokea hawata kisahau.
Eti Malawi ....ipi tena mupo nayo kwenye mugogolo wakufa na kupona kwasababu ya ziwa yawo?
No l don't u do.....no wonder we are far distant from just ...even copied stuff.do you know reparian rights for reparian countries. that's why we relaxed because the lake Nyasa is safe.