usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,897
Labda wao wana ng'ombe wengi wa kuchezea na ni wapumbavu pia kenya huo ujinga haupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Braza.. Huwezi kuvunja sheria za nchi jirani kwa kigezo cha Jumuiya.. haiwezekani na hicho hakijawahi tokea.. Tanzania sio shamba la bibi..Uwa sina akili za kushikiwa.
Lowasa sio baba angu. Wala neno lake sio sheria kwangu.
Naongea ninachokiona mimi si anachokiona lowasa.
Nazungumzia kujiita wana Afrika mashariki. Wakati tunashindwa kuishi kama Jumuiya ya Afrika mashariki.
Jiulize BAADA YA KUCHUKUA HYO HATUA.
UHURU AMEWAKANYA WANANCHI WAKE WASIINGIZE NG'OMBE TANZANIA?
UNAFIKIRI KUWAUZA NDO SULUHISHO LA TATIZO?
TUNAVUNJA AU TUNABOMOA?
Ndo maana nakwambia. KUWAUZA sio SULUHISHO la tatizo. Mlimwambia Uhuru aongee na wananchi wake akashindwa kuwazuia?Kwani ni mara ya kwanza kwa wafugaji wa KE kuingiza mifugo TZ, juzi kwenye taarifa ya habari walikiri kuwa hiyo siyo mara ya kwanza..
Sasa hiyo mifugo inaharibu mazingira na inapelekea wafugaji wa TZ kukosa malisho.. serikali imeamua kuchukua hatua kwa ajili ya maslahi ya nchi, mnakuja mnalalamika.
Ndio maana nawaita nyie ni wanafiki tu.
Dhamini kwanza sheria za nchi za watu huwezi kufanya mbinu za kihuni kupata kipato alafu usifiwe utasifiwa na wahuni wenzakoKwa maelezo hayo inaonyesha dhahiri Kenya wanathamini watu wao, biashara zao mpaka na Mali zao.
Hongera sana na ndo maana wanatukimbiza karibia kila sekta
Hahaha eti umemkosea yaani mtu akifuata sheria za nchi yake ni makosa? Niwape ushauri sababu mna akili finyu sana.Afadhali Rafiki au jirani anayepiga kelele akihisi umemkosea kuliko jirani anayekunyamazia na kukusalimia mkono huku akitabasamu hata baada ya kumkosea.
Kawaida ya mkenya ukimkosea hatanyamaza, atakujulisha hisia zake usoni mwako akikuangalia, hatangojea ugeuke uumpe mgongo alafu ndo akudunge kisu kama watu wengine
Braza.. hakunaga majadiliano kwenye suala la sheria nje ya mahakama, majadiliano yanakuwa mahakamani..Ndo maana nakwambia. KUWAUZA sio SULUHISHO la tatizo. Mlimwambia Uhuru aongee na wananchi wake akashindwa kuwazuia?
Uhuru anakaa kimya. Kwa sababu mmeamua KUCHUKUA maamuzi wenyewe.
Mambo Kama haya ni ya viongozi kukaa chini. Kujadiliana. Cha kufanya.
Huu ndo ujirani mwema. Hii ndo Jumuiya inatakiwa iwe.
Sijakataa.Braza.. Huwezi kuvunja sheria za nchi jirani kwa kigezo cha Jumuiya.. haiwezekani na hicho hakijawahi tokea.. Tanzania sio shamba la bibi..
Siku ukisikia ugomvi kati ya wakulima na wafugaji wa nchi jirani mtakuja hapa kuiponda serikali kutosimamia sheria.
Narudia tena, huwezi kuvunja sheria za nchi jirani kwa kigezo kuwa mpo kwenye jumuiya.. hilo halipo mahali popote.
Ndo maana nikasema pale mwanzo.Braza.. hakunaga majadiliano kwenye suala la sheria nje ya mahakama, majadiliano yanakuwa mahakamani..
FYI Marais hawawezi kukaa chini kukubaliana suala la kisheria, wao hawako juu ya sheria.. zilitungwa na bunge sio wao na mtekelezaji ni mahakama.
Kipindi kile wahamiaji haramu kutoka Msumbiji walivyofukuzwa hukusikia Rais wa TZ amefanya majadiliano na Rais wa MZQ, walivunja sheria na ile ilikuwa stahili yao.
Na hata Rais alisisitiza, kuwa watendewe sawasawa na sheria za Msumbiji. Kwa sababu hakuna majadiliano kati ya marais linapokuja suala la utii wa sheria.
Hao waKenya walikuwa na nafasi ya kuja kununua mifugo yao kwenye mnada na kuirudisha kwao..
Sisi tunasimamia sheria zetu, kwa maslahi ya nchi yetu.. hapo huwa hakuna majadiliano.. ukitaka mjadala nenda mahakamani.
Bawacha bana akili zenu zipo simple sana, hivi sio waziri Maghembe aliwataifisha ng'ombe zaidi ya 2000 waliovamia hifadhi?Irudishwe kwao.
Nimeuliza kuku wa jirani yako akiingia kwenye banda lako utamuuza au utamrudishia mwenyewe.?
Kujitoa kwenye sheria yoyote ni kazi na jukumu letu, kama haina maslahi kwa nchi tuna uhuru huo.. zaidi sana hiyo sheria hatukutunga sisi, ilipopwaya tukaivua.Sijakataa.
Tumefanya fanya mipango ya kujadiliana na wenzetu wa Kenya kuhusu ili tatizo?
Haya unasema tunafata sheria. Unakumbuka juzi tu. Nchi yetu imejitoa kwenye sheria ya kuendesha serikali kwa uwazi na uwajibikaji?
Lakini sheria ya kuuza mifugo ndo umeona ya kutekelezwa zaidi?
Hahaha wewe na yeye mna akili sawa, hivi ukiisoma hiyo I'd yake ni nani anayejiita mjinga?I concur with you. Sorry, kama hutojali, badilisha hyo ID. Unajiita MJINGAMIMI, wakati unaandika point taaaamu kabisa. Very Gud. Be blessed.
Shame on yourself ardhi ni rasilimali kwa ujumla wake kama huoni hilo inawezekana ukiwa Rais wakenya wanaweza kuja kuchimba madini Tanzania na kuondoka nayo kisa upumbavu wa "mipaka ya kikoloni"yaani mkoloni katuwekea mipaka tumlindie ndo tunaitukuza kuliko kujenga mahusiano mema na jirani zetu ambao ni jamii moja na sisi, shame on us
Sawa. Ngoja wote tufuate sheria. Alafu tuone nini kitakachofatia.Bawacha bana akili zenu zipo simple sana, hivi sio waziri Maghembe aliwataifisha ng'ombe zaidi ya 2000 waliovamia hifadhi?
Mbona hili povu hamkutoa kwa watanzania wenzenu umeolewa Kenya nini?
Hizo sheria katunga Nani?Kujitoa kwenye sheria yoyote ni kazi na jukumu letu, kama haina maslahi kwa nchi tuna uhuru huo.. zaidi sana hiyo sheria hatukutunga sisi, ilipopwaya tukaivua.
Hili tatizo la wafugaji wa Kenya kuingiza mifugo Tanzania halijaanza leo na wala sio tatizo la leo, huko nyuma tulimalizana kwa ujanja ujanja..
Kisheria hairuhusiwi kuingiza mifugo kwenye nchi jirani bila vibali.. full stop.
Sasa najiuliza hapa, kwa mfano una shamba lako pale mpakani unalima, halafu mtu wa nchi jirani akaingiza mifugo yake akala mazao yako, je utaenda kwenye mifumo ya sheria au mtamalizana?
Hiyo mifugo inasababisha uharibifu wa mazingira na vilevile inakula malisho ambayo ni halali ya wafugaji wa Tanzania.
Linapokuja suala la rasilimali zetu, je unafikiri ni halali kunufaisha majirani huku wa kwako wanateseka?
Nenda kaulize wafugaji wa Tanzania kama wanakubaliana na hilo swala?
Tumieni akili kidogo kwa mnachotetea..
Tukilegeza kwenye hili watakuja na kufanya mabaya zaidi..
Huwezi kwenda kufaidi rasilimali za nchi jirani kinyume cha sheria kwa kigezo cha kuwa kwenye jumuiya..Ndo maana nikasema pale mwanzo.
ANGUKO LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI.
Tumeshindwa kujadiliana madogo
Makubwa hatutawezaa.
Ndo maana Jumuiya yenu IPO IPO..
Haina maendeleo wala Mipango.
SABABU YA UBINAFSI.
Kama hujui nani anatunga sheria.. na kivipi zinatekelezwa basi hauna hadhi ya muda wangu..Hizo sheria katunga Nani?
Na kuna sheria ngapi hamzitimizi?
Acheni unafki kujiona mnazo akili sana kumbe zero tu, hiyo mifugo ingeingia kwenye mashamba ya watu na kuleta mauaji nyie mngekuja hapa kuishutumu serikali kuwa zembe, maliasili za taifa akili yako haizitambui yaani uko radhi hifadhi za taifa ziteketezwe tena na mifugo ya wakenya?Sawa. Ngoja wote tufuate sheria. Alafu tuone nini kitakachofatia.