Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,146
- 79,300
Hamna Taifa lenye unafiki kama Kenya huko kwao kwenyewe ng'ombe 500 wameuwawa Laikipia baada ya ku-tresspass shamba la Mkenya mwenzao sembuse ku-tresspass country boundaries.
Isitoshe kuuzwa ng'ombe 1000 wa Kenya ni amri ya Mahakama baada ya Wahusika kushindwa kulipa fine.
Ukitaka kuwajua Wakenya vizuri jikumbushe Uchaguzi wa August na NASA tallying center Kigamboni na jina la Magufuli lilivyokuwa linachafuliwa.
Roho inawauma Magufuli doesn't give a damn about them na wanajihisi important.
Isitoshe kuuzwa ng'ombe 1000 wa Kenya ni amri ya Mahakama baada ya Wahusika kushindwa kulipa fine.
Ukitaka kuwajua Wakenya vizuri jikumbushe Uchaguzi wa August na NASA tallying center Kigamboni na jina la Magufuli lilivyokuwa linachafuliwa.
Roho inawauma Magufuli doesn't give a damn about them na wanajihisi important.