GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,196
mkuu hapo nilipo weka red ndo huwa wengi wanapotezwa pia, Sina uhakika kama umeokoka au la au unamuda gani katika wokovu, ndugu ngoja nikwambie hata huku kwenye wokovu shetani anatumia sana watu wa huku kwamaana inakuwa ngumu watu kuwa na tashwishi na watu wa huku, najua watu wengi sana ambao wako huku nurudi lakini na wakala wakubwa wa shetani, kuanzia wachungaji maaskofu mpaka wazee wa kanisa, je wajua kuwa wapo maaskofu wa makanisa ya wokovu ambao wanashiriki ushirikina ili kukaa kwenye viti vyao na wapo waliongia kwenye uaskofu kwa nguvu za wachawi? Ndugu kunamambo mengi nayajua siwezi kuya expose hapa nisije watia hofu watu walio kwenye wokovu. Kunakipindi mpaka nikasema ole wangu mimi kuyajua haya maana ni bora asiyejua. Ngoja niishie hapa kwa usalama wa roho za watu.Hapo kwenye red ndio wengi wanapopotezwa.
Kwa mfano kama famili yenyewe ni mawakala wa shetani wewe unategemea nini? Shetani ni muongo siku zote hivo mkuu nakushauri UOKOKE haraka sana MUNGU ndio kimbilio lako. Plz usipoteze muda...