qaxemvule
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 230
- 117
Kwani kati ya serekali na kampuni ya tigo nani zaidi.Kwa sababu toka walipoambiwa kuliondoa Mara mmoja tangazo la JAZWA UJAZWE kwenye vyombo vyote vya habari mabangona n.k. Lakini mpaka leo bado unataka kuniambia serekali imepiga magoti kuenye kampuni ya tigo kwamaana imechemka au kampuni ya tigo ina kiburi?