Kwanini kampuni nyingi za teknolojia zinamuogopa Apple

Hebu tuongelee updates mkuu, simu ya iphone ikikosa updates inageuka kuwa Nokia ya Tochi. Ila simu ya android inaendelea kufanya kazi.

Nitakupa mfano mwaka Jana ndio simu za Jelly bean support ya whatsapp iliisha, mfano wa simu ya Jelly Bean ni kama Samsung galaxy s2, iphone iliotoka muda mmoja na s2 ni iphone 4. Jiulize ni lini iphone 4 ilikuwa useless? Kama kumbukumbu zipo sahihi ni 2018 ama chini ya hapo.

Hivyo mkuu kama unaongelea updates kwa Jina ndio Apple wanatoa updates kwa wingi ila kama unaongelea usability kwa miaka mingi then Android inayo kubwa.

Na hapa naongelea kikawaida na assume huyo mtu ni layman, ila kama ana ujuzi kidogo ina maana anaweza weka custom rom hata hio s2 ilawa na android 11 ama 12.
Hilo nakubali lakini nachoongelea zaidi kwenye update ni update ambazo huhitaji kuwa mtaalam kuzipata, unapata notification tu unaendelea. Watu wengi hawapendi kujihangaisha, ndiyo maana unaambiwa hata apps watu wengi wanapenda kutumia default apps wanazozikuta kama za sms, browser, n.k. Same reason why Google anamlipa apple asiingie kwenye search engine business because akiweka search engine yake kama ndo default kwenye browser za product zake basi watumiaji wengi watajikuta ndo wameamia huko.
Android yes hata usipo update itaendelea kwa muda lakini itakuwa nyuma kwa features nyingi unless uwe na utaalam uweze kuweka custom rom kitu ambacho majority hawafanyi.
Kwa mtu ambaye ni layman na anataka kwenda na wakati, basi itabidi abadili simu kila mara. Kwa mfano, mimi siwezi kununua Samsung s8 kwasababu haiwezi kupata android 12 unless nitumie custom rom. Ni afadhali nikanunue simu ya midrange ambayo itapata update ya android 12.
 
Kampuni nyingi zina jaribu kutoa aina mpya za teknolojia ambazo inabidi kusubiri au kuchukua kila mda lakini zimekuwa zikianguka kutokana na haraka haraka za hapa na pale.

  • Mfano kampuni nyingi zilikuja na mfumo smart phone za kila aina .apple alipotoa smart phone yake wote wakafata mtindo wake.
Kabla ya iphone ya kwanza wote Kina Nokia, LG, na wengineo walikuwa na simu za touch screen kama iphone ila kwa some reason mulioanza kufatilia Tech juzi juzi munaamini hili.

Baada ya iphone kutoka cha kwanza Nokia alimpeleka Apple mahakamani kwa kumuibia Tech zake za Touch screen na mahakama ikamkuta Apple Guilty na Apple akaamriwa Kila Iphone inayouzwa $2 mpaka $8 alipwe Nokia pamoja na one time Fee.

Je kama Apple ni mgunduzi why analipa mabilioni ya Hela kwa Wakongwe wa Tech? kina Nokia, Qualcomm, Ericson etc.

By the way hii ni LG prada series ya simu ilioanza kabla ya Iphone.
PicsArt_02-01-10.12.46.jpg

Na hii Nokia 7710 ya mwaka 2004
PicsArt_02-01-10.16.22.jpg


  • Mfano kampuni zilikuja na mfumo wa kamera ila apple alipotoa kamera basi wote nao wakafata.
Kamera ipi mkuu? Kama unaongelea dual Camera si alianza HTC? Karibia features zote za Camera Apple anacopy android. Hii htc one moja ya simu ya kwanza yenye camera zaidi ya moja.
htc-one-m8-0.jpg


  • Mfano mfumo wa kushare nao hivyo hivyo.
Mfumo wa kushare nini?
  • Mfano mwengine mambo ya kiusalama kama nywila na facesecurity hapa apple kawaweza sana.
Tuliwa discuss sana humu kuhusu Faceid ya Apple ila kiufupi ni same Tech iliotumika kwenye Xbox 360, Na surface za microsoft, kama kawaida Apple akiona kitu kizuri kwenye soko anaiga tu akainunua kampuni husika ili wa implement kwenye iphone.
Kuna habari zinazo sema apple alitaka kutoa search engine ila google aliogopa na kila mwaka umlipa pesa kustop hiyo project
Google anamlipa kila mtu si Apple tu na Google anamlipa Apple si kwa sababu Apple anataka kutoa search engine bali Apple angetumia competitor wa Google kama Bing basi watu wake wangeshuka.

Kutengeneza search engine si kitu kidogo kwamba Apple aamue tu basi na iwe.
 
Hilo nakubali lakini nachoongelea zaidi kwenye update ni update ambazo huhitaji kuwa mtaalam kuzipata, unapata notification tu unaendelea. Watu wengi hawapendi kujihangaisha, ndiyo maana unaambiwa hata apps watu wengi wanapenda kutumia default apps wanazozikuta kama za sms, browser, n.k. Same reason why Google anamlipa apple asiingie kwenye search engine business because akiweka search engine yake kama ndo default kwenye browser za product zake basi watumiaji wengi watajikuta ndo wameamia huko.
Android yes hata usipo update itaendelea kwa muda lakini itakuwa nyuma kwa features nyingi unless uwe na utaalam uweze kuweka custom rom kitu ambacho majority hawafanyi.
Kwa mtu ambaye ni layman na anataka kwenda na wakati, basi itabidi abadili simu kila mara. Kwa mfano, mimi siwezi kununua Samsung s8 kwasababu haiwezi kupata android 12 unless nitumie custom rom. Ni afadhali nikanunue simu ya midrange ambayo itapata update ya android 12.
Mkuu ni kweli wanatumia default ila inategemea na default nayo ina ubora wa kutosha?

Unakumbuka Apple map zilivyozua balaa mpaka kufungiwa? Kuna vitu simple kama Calculator, browser, note keeping etc ila kuna vitu complicated kama Maps, search engine, Assistant hizi etc vinataka ujuzi na resource za kutosha.
 
Mkuu ni kweli wanatumia default ila inategemea na default nayo ina ubora wa kutosha?

Unakumbuka Apple map zilivyozua balaa mpaka kufungiwa? Kuna vitu simple kama Calculator, browser, note keeping etc ila kuna vitu complicated kama Maps, search engine, Assistant hizi etc vinataka ujuzi na resource za kutosha.
Yes nakumbuka siku kaziachia tu hata barabara zilikuwa zimepinda ikabidi arudi kwa google map, lakini siku hadi siku zimeboreshwa. Hiyo itatokea akiingia kwenye search engine business.
Nimesikia hadi Googlena apple wanashitakiwa juu ya Google kuwalipa apple kuwaweka nje ya search engine business. Why should Google do that?
 
Kabla ya iphone ya kwanza wote Kina Nokia, LG, na wengineo walikuwa na simu za touch screen kama iphone ila kwa some reason mulioanza kufatilia Tech juzi juzi munaamini hili.

Baada ya iphone kutoka cha kwanza Nokia alimpeleka Apple mahakamani kwa kumuibia Tech zake za Touch screen na mahakama ikamkuta Apple Guilty na Apple akaamriwa Kila Iphone inayouzwa $2 mpaka $8 alipwe Nokia pamoja na one time Fee.

Je kama Apple ni mgunduzi why analipa mabilioni ya Hela kwa Wakongwe wa Tech? kina Nokia, Qualcomm, Ericson etc.

By the way hii ni LG prada series ya simu ilioanza kabla ya Iphone.
View attachment 2103812
Na hii Nokia 7710 ya mwaka 2004
View attachment 2103814


Kamera ipi mkuu? Kama unaongelea dual Camera si alianza HTC? Karibia features zote za Camera Apple anacopy android. Hii htc one moja ya simu ya kwanza yenye camera zaidi ya moja.
htc-one-m8-0.jpg



Mfumo wa kushare nini?

Tuliwa discuss sana humu kuhusu Faceid ya Apple ila kiufupi ni same Tech iliotumika kwenye Xbox 360, Na surface za microsoft, kama kawaida Apple akiona kitu kizuri kwenye soko anaiga tu akainunua kampuni husika ili wa implement kwenye iphone.

Google anamlipa kila mtu si Apple tu na Google anamlipa Apple si kwa sababu Apple anataka kutoa search engine bali Apple angetumia competitor wa Google kama Bing basi watu wake wangeshuka.

Kutengeneza search engine si kitu kidogo kwamba Apple aamue tu basi na iwe.
Hili la kusema apple ndo wa kwanza kutengeneza simu touch hata mimi linanishangaza. Mimi simu ya kwanza kuona touch ilikuwa sony ericoson flani hivi ina kiboard inakunjwa kufunika robo ya screen au inakunjuliwa.
Pia nikaja kuona nokia na simu flani za mchina.
Ila weakness moja yabhizi simu zote zilikuwa zinatumia tech ya resistive zilikuwa hazirespond kwa vidole so lazima utumie kitu kama mti au kipen kinachokuja na hizo simu.
 
Yes nakumbuka siku kaziachia tu hata barabara zilikuwa zimepinda ikabidi arudi kwa google map, lakini siku hadi siku zimeboreshwa. Hiyo itatokea akiingia kwenye search engine business.
Nimesikia hadi Googlena apple wanashitakiwa juu ya Google kuwalipa apple kuwaweka nje ya search engine business. Why should Google do that?
Mkuu Google hafanyi kwa Apple tu, Anafanya kwa mozilla, Samsung na wengine kibao. Kuna kipindi Google na Mozilla walizinguana Mozilla akaweka Yahoo kwenye search engine USA. Na marketshare Ya Google ikashuka kama Asilimia 1 baadae Google akamlipa Mozilla 300M kama kumbukumbu zipo sahihi.

Na fear kubwa si Apple wataanzisha Search engine Bali Apple anaweza kuchagua search Engine nyengine, Mfano Siri ilikuwa ikitumia Bing muda Mrefu hivyo ni rahisi kumkacha Google na kuweka bing.
 
Hili la kusema apple ndo wa kwanza kutengeneza simu touch hata mimi linanishangaza. Mimi simu ya kwanza kuona touch ilikuwa sony ericoson flani hivi ina kiboard inakunjwa kufunika robo ya screen au inakunjuliwa.
Pia nikaja kuona nokia na simu flani za mchina.
Ila weakness moja yabhizi simu zote zilikuwa zinatumia tech ya resistive zilikuwa hazirespond kwa vidole so lazima utumie kitu kama mti au kipen kinachokuja na hizo simu.
Ndio maana nilitaja LG prada hapo Juu sababu LG ndio Alianza na Capacitive screen Kabla ya Apple.

Ila kweli wazee wa Symbian kipindi hiko, Nokia, Sony ericson walitumia resistive.
 
Mkuu Google hafanyi kwa Apple tu, Anafanya kwa mozilla, Samsung na wengine kibao. Kuna kipindi Google na Mozilla walizinguana Mozilla akaweka Yahoo kwenye search engine USA. Na marketshare Ya Google ikashuka kama Asilimia 1 baadae Google akamlipa Mozilla 300M kama kumbukumbu zipo sahihi.

Na fear kubwa si Apple wataanzisha Search engine Bali Apple anaweza kuchagua search Engine nyengine, Mfano Siri ilikuwa ikitumia Bing muda Mrefu hivyo ni rahisi kumkacha Google na kuweka bing.
Wana keso juu ya hili jambo wote wawili wanashitakiwa
 
APPLE bwana ni gereza la mandondocha

sasa hizi macbook zao mpya zenye chip zao hazina port ya USB ya kawaida yaan kupata USB mpk utumie hiki kidude sasa huu si utumwa yaan bira wangeweka hata USB port 1 tu
View attachment 2103944

ina tu hivyo vidude tu wili tu kimoja chaji kimoja ndo hvyo tena dahView attachment 2103945
Na dongle ukitaka ya kwao wanauza dola 70 (zaidi ya laki na nusu) na yenyewe pia haina usb za kutosha, ukitaka usb nyingi ununue dongle zaidi ya moja.
 
Kampuni nyingi zina jaribu kutoa aina mpya za teknolojia ambazo inabidi kusubiri au kuchukua kila mda lakini zimekuwa zikianguka kutokana na haraka haraka za hapa na pale.
  • Mfano kampuni nyingi zilikuja na mfumo smart phone za kila aina .apple alipotoa smart phone yake wote wakafata mtindo wake.
  • Mfano kampuni zilikuja na mfumo wa kamera ila apple alipotoa kamera basi wote nao wakafata.
  • Mfano mfumo wa kushare nao hivyo hivyo.
  • Mfano mwengine mambo ya kiusalama kama nywila na facesecurity hapa apple kawaweza sana.
Kuna habari zinazo sema apple alitaka kutoa search engine ila google aliogopa na kila mwaka umlipa pesa kustop hiyo project
Zinamuogopaje kwa mfano?
 
Kampuni nyingi zina jaribu kutoa aina mpya za teknolojia ambazo inabidi kusubiri au kuchukua kila mda lakini zimekuwa zikianguka kutokana na haraka haraka za hapa na pale.
  • Mfano kampuni nyingi zilikuja na mfumo smart phone za kila aina .apple alipotoa smart phone yake wote wakafata mtindo wake.
  • Mfano kampuni zilikuja na mfumo wa kamera ila apple alipotoa kamera basi wote nao wakafata.
  • Mfano mfumo wa kushare nao hivyo hivyo.
  • Mfano mwengine mambo ya kiusalama kama nywila na facesecurity hapa apple kawaweza sana.
Kuna habari zinazo sema apple alitaka kutoa search engine ila google aliogopa na kila mwaka umlipa pesa kustop hiyo project

Kampuni nyingi zina jaribu kutoa aina mpya za teknolojia ambazo inabidi kusubiri au kuchukua kila mda lakini zimekuwa zikianguka kutokana na haraka haraka za hapa na pale.
  • Mfano kampuni nyingi zilikuja na mfumo smart phone za kila aina .apple alipotoa smart phone yake wote wakafata mtindo wake.
  • Mfano kampuni zilikuja na mfumo wa kamera ila apple alipotoa kamera basi wote nao wakafata.
  • Mfano mfumo wa kushare nao hivyo hivyo.
  • Mfano mwengine mambo ya kiusalama kama nywila na facesecurity hapa apple kawaweza sana.
Kuna habari zinazo sema apple alitaka kutoa search engine ila google aliogopa na kila mwaka umlipa pesa kustop hiyo project
Ninaona umeamua kutanguliza ushabiki kuliko uhalisia. Kwanza nani kakwambia other tech giants wanamuogopa Apple? Hizo ni story za vijiwe vya kahawa no facts at all. Apple (iPhone & its cousins) are just overrated 😏
 
APPLE bwana ni gereza la mandondocha

sasa hizi macbook zao mpya zenye chip zao hazina port ya USB ya kawaida yaan kupata USB mpk utumie hiki kidude sasa huu si utumwa yaan bora wangeweka hata USB port 1 tu
View attachment 2103944

ina tu hivyo vidude tu wili tu kimoja chaji kimoja ndo hvyo tena dahView attachment 2103945
Kwasababu dunia inahamia usb c, hivi unajua apple ndio wa kwanza kuweka usb kwenye pc zao baada ya kuwa developed makampuni mengi yakuunda PC yalikuwa yanasita kuitumia, apple kama kawaida akatake risk kuitumia akiwa wa kwanza.
Sasa standard mpya ni usb C hivyo baada ya miaka PC mpya utaona zimehamia huko kama ambavyo PC za miak 7 iliopita mpaka sasa nyingi zimetosa vga port.
Apple japo uwa anachelewa kua adapt baadhi ya technology kama touch screen kwenye laptop, ila kuna tech ambazo uwa anawahi sana kuzitumia na wengine wanafuata.
 
Hebu tuongelee updates mkuu, simu ya iphone ikikosa updates inageuka kuwa Nokia ya Tochi. Ila simu ya android inaendelea kufanya kazi.

Nitakupa mfano mwaka Jana ndio simu za Jelly bean support ya whatsapp iliisha, mfano wa simu ya Jelly Bean ni kama Samsung galaxy s2, iphone iliotoka muda mmoja na s2 ni iphone 4. Jiulize ni lini iphone 4 ilikuwa useless? Kama kumbukumbu zipo sahihi ni 2018 ama chini ya hapo.

Hivyo mkuu kama unaongelea updates kwa Jina ndio Apple wanatoa updates kwa wingi ila kama unaongelea usability kwa miaka mingi then Android inayo kubwa.

Na hapa naongelea kikawaida na assume huyo mtu ni layman, ila kama ana ujuzi kidogo ina maana anaweza weka custom rom hata hio s2 ilawa na android 11 ama 12.
Kuna umri ukifika device inakuwa almost absolete.

Jinsi technology inavyokuwa kwa kasi, kuna baadhi ya device zinaachwa nyuma.

Na sasa tech adoption kubwa ipo kwa vijana, ambao ni unlikely kutumia device za miaka 7 nyuma.

Wapo radhi watumie mid range ya miaka miwili nyuma kuliko kutumia high end ya miaka 7 iliopita.
 
Mkuu ni kweli wanatumia default ila inategemea na default nayo ina ubora wa kutosha?

Unakumbuka Apple map zilivyozua balaa mpaka kufungiwa? Kuna vitu simple kama Calculator, browser, note keeping etc ila kuna vitu complicated kama Maps, search engine, Assistant hizi etc vinataka ujuzi na resource za kutosha.
Apple hayupo kwenye biashara ya ugunduzi, na sio kwamba hawezi, ila anatumia the best from others.

Ukichukua iphone, unaona suppliers walivyo wengi. Yeye yupo kwenye chipset na software.

Hayo mengine fanyeni nyie.
 
Apple alidhan atamfunika google kwenye youtube alipoanzisha itunes wapi. Apple walikosea sana kumuweka shoga Tim Cook kuwa CEO wao. Hovyo kabisa na niliapa sinunui chochote kinachotokana na apple.
Mkuu hivi kwani Tim Cook anataturiwa marinda ama yeye ndio anatatua marinda maana wazungu wakisema gay inajumuisha mashoger & mabasher
 
Back
Top Bottom