Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,157
- 4,454
Bora Kagame anapiga kazi kwa ajili ya nchi yake uchumi unasonga mbele pamoja na limited resources alizo nazo, kuliko kiongozi asiyejua hata starehe akiamini watu wanaokula raha ni wezi na uchumi wa nchi yake unadorora Mabenki yanafirisika soko la hisa linaporomoka huku nchi ikiwa katika woga wa ajabu