Kwani wewe unadhani Chadema ni chama cha kina nani?Ni mtazamo wa mtoa mada, we ulitaka ataje CCM?
Mtatiro na Lema, nani bingwa wa kuropoka kama sio LemaBinafsi namuona jamaa hafit pale CDM kutokana na hulka yake ya kuropoka na kusema bila kufikiri, huwezi kufananisha na mnyika hata kidogo mnyika ni mtu wa kufakari jambn ndipo afanye comments
Uchaguzi mkuu 2010, bila mpango mkakati. He can make it 2015, let us wait & c!
Kama utakumbuka ule mgomo wa TAHLISO 2008 pindi Julius Mtatiro akiwa Waziri Mkuu wa DARUSU na Katibu Mkuu wa TAHLISO ni dhahili utagundua ni kwa nin mtatiro alikwenda CUF. Ktk ule mgomo ni CUF ndio walimpa mtatiro msaada wa kisheria, ikiwamo kulipia gharama zote za Wakili, so mtatiro aliwalipa fadhila CUF, But sina shaka atajiunga na CDM soon!
Kila mtu akijiunga CDM vyama vingine vote vijifute? na visipokuwepo CDM itapata challenge kutoka wapi?
alitoa sharti kuwa apewe ubungo kwa tiketi ya chadema mnyika, na wadau wa cdm wakagoma akaona bora aende cu then agombee ubungo dhidi ya mnyikaJulius Mtatiro ni jembe kwelikweli hili halina ubishi hata John Mnyika anafahamu ukweli huu, ila mpaka leo nashindwa kuelewa kwanini mpambanaji huyu hakujiunga na CHADEMA badala yake akatimkia CUF?