Kwanini JF hamkopi kwenye App za mtandaoni?

Kwanini JF hamkopi kwenye App za mtandaoni?

Tupe siri Mkuu.
Kaeni mbali na hizo App kwasababu wana Access file za simu yako picha, documents, audio, namba, meseji, call wanazitumia kwenye uhalifu wao
Ndio maana wanapokudai wanakuwa na uwezo wa kupigia watu wako wa karibu kwa mfano mwepesi ni kuwa wanavua chupi simu yako
 
Back
Top Bottom