Kwanini jamii za mipakani wana shida na Uraia isipokuwa Kilimanjaro tu?

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Hili swali kwangu limekosa majibu, watu wa nchi yetu waishio mipakani wamekuwa wakisumbuliwa na vyombo vyetu vya Usalama khs uhalali wa Uraia wao na hata sisi wenyewe kama jamii tumekuwa tukiwazushia watu waishio mipakani kwamba siyo Watanzania lkn sijawahi kusikia mtu wa KLM akihojiwa kuhusu uraia wake ingawaje wanaishi mpakani na Kenya!

Lkn wengine wote kuanzia Mkapa tulisema anatokea Msumbiji, wale Nyasa tunawaita Wamalawi, Kigoma kama Zito Kabwe tunasema ni Wakongo/Burundi, Mara kama J.Heche tunawaita Wakenya, Kagera tunawaita Wanyarwanda kama Ulimwengu lkn sijawahi kusikia Mrombo kama Mrema Mbatia kuitwa Mkenya ingawaje wanaishi mpakani kabisa au Wapare ambao wako mpakani na ndugu zao Kenya wanaitwa Wataita kama vile Wajaluo wa Mara lkn sijawahi kusikia Mpare akiitwa Mkenya lkn Mjaluo Heche mara nyingi anaitwa Mkenya sasa kwa nini watu KLM uraia wao hauna shida?
 
Hili swali kwangu limekosa majibu, watu wa nchi yetu waishio mipakani wamekuwa wakisumbuliwa na vyombo vyetu vya Usalama khs uhalali wa Uraia wao na hata sisi wenyewe kama jamii tumekuwa tukiwazushia watu waishio mipakani kwamba siyo Watanzania lkn sijawahi kusikia mtu wa KLM akihojiwa kuhusu uraia wake ingawaje wanaishi mpakani na Kenya!

Lkn wengine wote kuanzia Mkapa tulisema anatokea Msumbiji, wale Nyasa tunawaita Wamalawi, Kigoma kama Zito Kabwe tunasema ni Wakongo/Burundi, Mara kama J.Heche tunawaita Wakenya, Kagera tunawaita Wanyarwanda kama Ulimwengu lkn sijawahi kusikia Mrombo kama Mrema Mbatia kuitwa Mkenya ingawaje wanaishi mpakani kabisa au Wapare ambao wako mpakani na ndugu zao Kenya wanaitwa Wataita kama vile Wajaluo wa Mara lkn sijawahi kusikia Mpare akiitwa Mkenya lkn Mjaluo Heche mara nyingi anaitwa Mkenya sasa kwa nini watu KLM uraia wao hauna shida?
Kwasababu KLM ndio nembo ya Tanzania
 
Hili swali kwangu limekosa majibu, watu wa nchi yetu waishio mipakani wamekuwa wakisumbuliwa na vyombo vyetu vya Usalama khs uhalali wa Uraia wao na hata sisi wenyewe kama jamii tumekuwa tukiwazushia watu waishio mipakani kwamba siyo Watanzania lkn sijawahi kusikia mtu wa KLM akihojiwa kuhusu uraia wake ingawaje wanaishi mpakani na Kenya!

Lkn wengine wote kuanzia Mkapa tulisema anatokea Msumbiji, wale Nyasa tunawaita Wamalawi, Kigoma kama Zito Kabwe tunasema ni Wakongo/Burundi, Mara kama J.Heche tunawaita Wakenya, Kagera tunawaita Wanyarwanda kama Ulimwengu lkn sijawahi kusikia Mrombo kama Mrema Mbatia kuitwa Mkenya ingawaje wanaishi mpakani kabisa au Wapare ambao wako mpakani na ndugu zao Kenya wanaitwa Wataita kama vile Wajaluo wa Mara lkn sijawahi kusikia Mpare akiitwa Mkenya lkn Mjaluo Heche mara nyingi anaitwa Mkenya sasa kwa nini watu KLM uraia wao hauna shida?
Kilimanjaro ndio wenye Nchi yao Tanzania
 
Tanga nao wamepakana na Kenya mbona hawasumbuliwi? Pia kuna Mbeya imepakana na Zambia, Katavi na Rukwa zimepakana na DRC, Ruvuma imepakana na Msumbiji hawasumbuliwi pia...Hata Arusha wamepakana na Kenya ila sijasikia wakisumbuliwa uraia
 
Tanga nao wamepakana na Kenya mbona hawasumbuliwi? Pia kuna Mbeya imepakana na Zambia, Katavi imepakana na DRC, hawasumbuliwi pia


Sidhani kama Mbeya au Tanga wako karibu mpakani kabisa na watu Zambia kama walivyo Wachaga/Wapare na Wakenya, nafikiri kuna pori kubwa kati ya TZ na Zambia sidhani kama wanaingiliana kama Warombo wanavyoingiliana na Wakenya kila siku!
 
Sidhani kama Mbeya au Tanga wako karibu mpakani kabisa watu Zambia kama walivyo Wachaga/Wapare na Wakenya, nafikiri kuna pori kubwa kati ya TZ na Zambia sidhani kama wanaingiliana kama Warombo wanvyoingiliana na Wakenya kila siku!
Mbeya sina uhakika, ila Tanga na Mombasa wanaingiliana sana mkuu, wameoana sana na kuna familia zinaishi pande zote za nchi
 
Mbeya sina uhakika, ila Tanga na Mombasa wanaingiliana sana mkuu, wameoana sana na kuna familia zinaishi pande zote za nchi


Najua kwamba Tanga hasa Wadigo tena wako pande zote mbili Mombasa na huku kwetu, labda hakuna Mdigo anayejihusiaha na Siasa, hata mimi sijui!
 
Najua kwamba Tanga hasa Wadigo tena wako pande zote mbili Mombasa na huku kwetu, labda hakuna Mdigo anayejihusiaha na Siasa, hata mimi sijui!
Na vipi kuhusu Arusha, wamepakana na Kenya na wanaingiliana pia
 
Siyo kweli Wapare/Wachaga na Wataita wa Kenya ni ndugu moja ni sawa na Wajaluo wa Mara na Kenya!
Vyakula vyao ni tofauti kabisa!
Ingawa mababu na mabibi wengi walitokea Taveta na kuhamia Uchagani!
 
Back
Top Bottom