Kwanini iwe Mwingira na sio Zitto?

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,488
86,004
Shutuma au sijui maelezo aliyoyatoa Mwingira Jana jumapili hayana tofauti na aliyoyasema Zitto.

Zitto ameenda mbali na kusema anawafahamu kwa majina waliotumwa na Utawala wa Magufuli kumchomea nyumba.

Swali, mbona sijasikia mahali popote Zitto akiitwa kuhojiwa? Why Mwingira??
 
Nimeona tuhuma zimetamkwa na Askofu Mwingira, tunaendelea kufuatilia, zinapotolewa na kiongozi maarufu, tunapata shida, kwa nini hatoi taarifa, mpaka yametokea, unakaa kimya, unasubiri Krisimasi ndio unasema, kama ni kweli, tutahitaji atusaidie atupe ukweli- George Simbachawene https://t.co/4VuTUQOoMO
 
Shutuma au sijui maelezo aliyoyatoa Mwingira Jana jumapili hayana tofauti na aliyoyasema Zitto.

Zitto ameenda mbali na kusema anawafahamu kwa majina waliotumwa na Utawala wa Magufuli kumchomea nyumba.

Swali, mbona sijasikia mahali popote Zitto akiitwa kuhojiwa? Why Mwingira??
Suala mf la Lissu wamefika wapi? Ukiripoti utasaidiwa vipi?
 
Shutuma au sijui maelezo aliyoyatoa Mwingira Jana jumapili hayana tofauti na aliyoyasema Zitto.

Zitto ameenda mbali na kusema anawafahamu kwa majina waliotumwa na Utawala wa Magufuli kumchomea nyumba.

Swali, mbona sijasikia mahali popote Zitto akiitwa kuhojiwa? Why Mwingira??
Zitto ni pandikizi
 
Mipangi ipi sasa? we all know that religious are there for the code of civilization,nje na hapo ni myth. Alikuwa wapi kutoa shutuma wakati wa magufuri.
Mbona risasi za Lisu uchunguzi umejaa kigugumizi? Miaka mingapi mpaka leo. Au mhalifu anajichunguza!!!
 
Back
Top Bottom