Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,488
- 86,004
Shutuma au sijui maelezo aliyoyatoa Mwingira Jana jumapili hayana tofauti na aliyoyasema Zitto.
Zitto ameenda mbali na kusema anawafahamu kwa majina waliotumwa na Utawala wa Magufuli kumchomea nyumba.
Swali, mbona sijasikia mahali popote Zitto akiitwa kuhojiwa? Why Mwingira??
Zitto ameenda mbali na kusema anawafahamu kwa majina waliotumwa na Utawala wa Magufuli kumchomea nyumba.
Swali, mbona sijasikia mahali popote Zitto akiitwa kuhojiwa? Why Mwingira??