Tsidikeu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 1,312
- 890
Waligundua mchezo flani unaoendelea ndio maana wakaona ni vyema wayafuate jikoni...HONGERA ITVWalikatiza kujiunga na tume bana maana hatujui majimbo gani yangefuata.....
Waligundua mchezo flani unaoendelea ndio maana wakaona ni vyema wayafuate jikoni...HONGERA ITVWalikatiza kujiunga na tume bana maana hatujui majimbo gani yangefuata.....
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
Ukanda baba!
Huu ujinga wenu ndio maana Wachaga wamewafundisha adabu kwa vitendo mmekosa hata mbunge mmoja kwao na ni vyema mkazifunga ofisi za ccm kule na hawa kina Davis Mosha muwafukuze ccm maana ni mamluki tu wa Chadema.
Kwa vile Diallo anaegemea CCM, hivyo ngoma Droo
Wanataka ITV itangaze kwamba CCM yazowa majimbo Dar na yapata kura za kishindo na Meya wa JIJI atatoka CCM, na Dar siyo UKAWA CITY.
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
itv haiendeshwi kwa kodi yako.
tbc ndio ya kuhoji kwa nini inaonyesha habari za ccm tu?
Watu wasioneshe uhalisia unataka waonyeshe uongo kama ccm au
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?
WaTz si wapuuzi kuwapa wachagga nchi
sijaona kwenye taarifa ya saa mbili wakitoa taarifa za ccm majimbo waliyoshinda ila ni chadema tu?