Uchambuzi famba sanaShida moja kuu ya iran anafadhili makundi ya kigaidi hapo middle east Iran ni kama mwendawazimu anagawa silaha kwa makundi ya kigaidi alafu anawatuma wakavamie israel na meli za wazungu
Yaani Iran anawapiga wazungu kwa mkono wa vikundi vya wanamgambo so wazungu wanaona akifanikiwa kumiliki hayo mabomu hapo midle east ndio hapata tulia tena na hadi hao wanamgambo wanaweza miliki hzo silaha kabisa so ili kuepusha kufikia huko wanataka wamvunje hiyo nguvu kabisq
Unataka awape Hezbollah na Houthi halafu kifuatacho ITV? Hujui jamhuri ya kiislamu ya Iran ni kubwa la magaidi?Naomba kuuliza ni kwanini Iran haruhusiwi kua na Nuclear? Wakati India, south africa, uk, russia, israel, pakistan, china nk wanazo!!! Kwanini Iran haruhusiwi?
Panga ni silaha ya kawaida Sana ukikutana na mtu kaibeba, wala hutarudi nyuma kwa hofu.Naomba kuuliza ni kwanini Iran haruhusiwi kua na Nuclear? Wakati India, south africa, uk, russia, israel, pakistan, china nk wanazo!!! Kwanini Iran haruhusiwi?
Kwa sababu ni nchi ya kidini.Naomba kuuliza ni kwanini Iran haruhusiwi kua na Nuclear? Wakati India, south africa, uk, russia, israel, pakistan, china nk wanazo!!! Kwanini Iran haruhusiwi?
Islamic Republic of PakistanKwa sababu ni nchi ya kidini.
Islamic republic of Iran.
Kichaa unampaje rungu? Hao Shia bwamdogo huwajui tabia zao km vichaa? 90-95% ya watu wa Iran ni Shia ogopa hioNaomba kuuliza ni kwanini Iran haruhusiwi kua na Nuclear?
Naam hili ndio jibu Shia haoPanga ni silaha ya kawaida Sana ukikutana na mtu kaibeba, wala hutarudi nyuma kwa hofu.
Ila ukimwona kichaa kabeba anakuja usawa wako hata Kama Hana habari na wewe sidhani Kama utasubiri akukaribie!
Dawa ni kuhakikisha vichaa hawabebi mapanga hata Kama hawakati watu.
Wataifyeka dunia nzima kwa imani za kipuuziThey are uncivilized. redundant
Si mpaka Houth na Hamas watazimilikiNaomba kuuliza ni kwanini Iran haruhusiwi kua na Nuclear? Wakati India, south africa, uk, russia, israel, pakistan, china nk wanazo!!! Kwanini Iran haruhusiwi?
Watawawahisha wanaume wote dunia 🤣😂😁kama mabomu ya kawaida tu wanajitoa muhanga unafikiri itakuwaje kwa nuclear..? si ndo wataona raha kuziwahi bikra 72 ...😂