Kwanini inakuwa ivi?

Mphamvu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
10,702
3,288
Simu yangu ni Nokia E52 Smartphone.
Nikitumia kuangalia video online au kufanya livesteaming inakuwa inaenda poa bila kukwama, tena kwa laini ya tiGO. Cha ajabu kompyuta inakuwa inakwamakwama, wakati ina uwezo mkubwa kuliko simu.
Why?
 
sababu ni moja.

Video za simu na pc ni tofauti wakati network ni same

Video ya simu ya dk 3 ni kati ya mb3 hadi 5 kawaida wakati kwa pc maybe 12mb hadi 30 wakati speed unayopata ni ile ile.

solution kama pc inazingua we change quality ya video youtube click kwenye kialama cha setting pale kwenye player then zitatoka aina

Usually quality ya video youtube ni 360p na simu ni 240p so change iwe 240p then utaona quality inashuka na speed ya kustream inaongezeka
 
sababu ni moja.

Video za simu na pc ni tofauti wakati network ni same

Video ya simu ya dk 3 ni kati ya mb3 hadi 5 kawaida wakati kwa pc maybe 12mb hadi 30 wakati speed unayopata ni ile ile.

solution kama pc inazingua we change quality ya video youtube click kwenye kialama cha setting pale kwenye player then zitatoka aina

Usually quality ya video youtube ni 360p na simu ni 240p so change iwe 240p then utaona quality inashuka na speed ya kustream inaongezeka

Thanks bro.
Tajaribu hiyo setting...
 
Back
Top Bottom