NANDERA
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 2,024
- 2,486
Inakuwaje mpaka unamfata mwanamke mwenye watoto wawili tena kila mmoja na baba yake?Masharti kibao huku anawatoto wawili kila mmoja na baba yake
Inakuwaje mpaka unamfata mwanamke mwenye watoto wawili tena kila mmoja na baba yake?Masharti kibao huku anawatoto wawili kila mmoja na baba yake
Sio woteWaoaji waoga
Wengi waoga mkuuSio wote
Mungu aniepushe na mwanaume wa aina yako ( ulemwelezea hapo).wakati mwingine naonaga wanaume tunakosea sana,Yani kuna ile tayari tushajiekea ka uoga huyu ana PHD siwezi mfanya kitu so hata anapobisha huwa tunashindwa judge au debate kutokana na ule uoga wa ndani ambao tyr tunao.
Mimi sipogo ivyo kbsa mke msomi/mwanamke mzuri alieumbika/mwanamke mwenye pesa/tabia nzuri Ninapokua nae hua siangalii hayo na hata siku moja hatojua kua nimempendea elimu yake/pesa/uzuri/tabia yake hua najitiaga kipofu kbsaa..
Ukikosea nakuzabua kama kukupa likizo ya kuniona nakupa ya mwezi mzima hadi uhisi nimekuacha,yani adhabu ni zile heavy Heavy ukijumlisha na maneno yatayopenya hadi kwenye mifupa,yani naongea hadi lazima ajiulize hivi mimi nimesoma kweli,,hivi haoni uzuri wangu kweli,,hivi haoni tabia yangu nzuri kweli? yani maswali ya namna hiyo lazima atajiuliza itapotokea siku kancharua maana lazima atajiona taka taka.
ila tabia ya kuogopa wanawake kwa sababu ya uzuri/tabia nzuri/pesa/elimu,nk ukiamini hamna wa zaidi yake au ulimpata huyo kwa bahati mbaya Huo ndio ujinga na mwisho unageuzwa bushoke flani hivi.
Mwanamke sharti awe chini yangu uzuri wako shepu ka boga,elimu yako pelekesha hukoooo kwangu nikirudi home chakula hamna mezani Hiyo siku lazima ajione kaishia primary wakati ana phd.
Hapana boss ni kutokujiamini na kujishtukiaUsiongee hivyo kisa umeokota chungwa katikati ya limao ukaona wengine hawana akili jambo kama hilo ni bahati tu mkuu
Hiki Kiswahili cha Buzebazeba hiki. Umenikumbusha mbaali!Uguruguru wao ndiyo sababu.
NakupendaMy dear, wote is such a strong word. Haiwezi hata siku moja ikawa wote
Feminism ni mpango wa shetwani kuharibu familia. Wanaoendekeza feminism, wengi hawawezi kuishi kwenye ndoa, labda hizo harakati zake awe anaziacha mlangoni anapoingia nyumbani.Kuna mmoja nilitoa mahari kabisa. Siku moja akaanza" I have to stand for my rights " nikauliza your rights or our rights? My rights.na mastaz yake. Nikatupa kule. Akasema sasa naoa nna kazi na mshahara.Kwa hasira akakavamia kakijana kakampiga mimba sasa hivi ni kasingle Mama kanalea, dogo nae kaoa. 8 kati 10 waliooa wasomi wana stress. Feminism imeharibu dunia. Nordic countries wanaoa sana wageni .
Ni kitu kibaya sana kwa mwanaune au mwanamke kutumia uwezo wake wa elimu au uchumi kama turufu ya kudai haki kwenye ndoa....ndoa haina usawa, ndoa ni heshima, kuheshimiana na kupendana tu, tena kwa pande zote-me na ke.Hapo sasa
Uvumilivu hadi kwenye uzinzi?..
Men hold very high standards for themselves
Huwezi ukamsaliti akajua na ukabaki salama
Wanawake kuna point you have to say no..esp kwny gross misconduct km ya uzinzi ndani ya ndoa
Utakufa na maradhi ama utakua na roho butu utafurahia vipi ndoa na mtu anakusaliti
(Mungu katuumbia wivu mkali sana ke na me wote mapenzi sio ya kushare)
Nakupenda piaNakupenda
Hauna madhara,shida ni wale watoa mambo ya ndani Nnje!Kwani mimi nikiijua huogopi?
upendo wa AGAPE isiwe vinginevyo...Nakupenda pia
AMEEN...Mungu aniepushe na mwanaume wa aina yako ( ulemwelezea hapo).
Sipendi mwanaume mwenye maneno au tumegombana halafu anitupie maneno.
Maana hata kama nampenda sintokaa nirudiane naye.
Na mimi pia huwa simrushii maneno mwanaume kabisa huwa na mute tuu, kama ni simu sipokei msg sijibu.
Maneno unayomzodoa nayo mpenzi wako usidhani yatafutika kirahisi kwenye akili yake, kila akiyakumbuka tuu lazima ataonesha kubadilika na mapenzi juu yako kupungua.
ukosee halafu uchague maneno ya kuambiwa au adhabu ya kupewa? weka bidiii ktk maombi umpate mume ukikosea haongei..anaongea neno 1 kamaliza Utampata wa aina hiyo only if YOU WILL PRAY ENOUGH ila si kirahisi kama ufikiriavyo.Mungu aniepushe na mwanaume wa aina yako ( ulemwelezea hapo).
Sipendi mwanaume mwenye maneno au tumegombana halafu anitupie maneno.
Maana hata kama nampenda sintokaa nirudiane naye.
Na mimi pia huwa simrushii maneno mwanaume kabisa huwa na mute tuu, kama ni simu sipokei msg sijibu.
Maneno unayomzodoa nayo mpenzi wako usidhani yatafutika kirahisi kwenye akili yake, kila akiyakumbuka tuu lazima ataonesha kubadilika na mapenzi juu yako kupungua.
Nitaomba. Bora nimpate wa kunipiga kwa makofi au mikanda lakini sio kwa maneno.ukosee halafu uchague maneno ya kuambiwa au adhabu ya kupewa? weka bidiii ktk maombi umpate mume ukikosea haongei..anaongea neno 1 kamaliza Utampata wa aina hiyo only if YOU WILL PRAY ENOUGH ila si kirahisi kama ufikiriavyo.
upendo wa AGAPE isiwe vinginevyo...
Ooh sawasawaHauna madhara,shida ni wale watoa mambo ya ndani Nnje!