Kwanini huu uwanja unaitwa Ruanda Nzovwe?

Kwanini huu uwanja unaitwa Ruanda Nzovwe?

sirjohn

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
767
Reaction score
679
Wana Mbeya, kwanini uwanja huo unaitwa hilo jina na sifa zake kubwa ni zipi?

Hivi kuna kiongozi yeyote alitoka Mbeya kipindi cha kudai uhuru? Mbona Mbeya mnapenda mabadiliko zaidi hata ya Musoma kwa Nyerere?

Nawapenda sana wana Mbeya.
 
Ccm hawana pa kutokea,moto wa mabadiliko kila kona,mbeya ilikuwa ni balaa,musoma,tanga,mtwara,arusha,kagera,kigoma,tabora,iringa,geita,dah! Jumatatu ijayo mida kama i,kila kona ya nchi I itakuwa ni shangwe kubwa kwa wana ukawa
 
Mbeya nimewakubali, nimewanyoshea mikono. Mpaka cjui ni nani kamzidi mwenzie mbeya mjini na momba
 
Kwa namna mwamko ulivyo na shauku ya mabadiliko nchi nzima,mm naiona mbeya kama mhimili wa mabadiliko ndio maana hata magufuli alichemsha,musoma kwng inafuatia,tanga tatu
 
Hayo ndio mabadiliko bwana; sasa tunasubiri kudhihirisha tarehe 25-10-2015 siku ya jumapili safari hii ccm lazima ikae tu
 
Baada ya mkutano kuisha basi tayari mnashinda uchaguzi ukawa nyie punguzeni kujiamini bhanaa
 
Mabadiliko ni lazima kila kona mwamko ni mkubwa watanzania wanahitaj mabadiliko sasa!!!!!
 
Ccm hawana pa kutokea,moto wa mabadiliko kila kona,mbeya ilikuwa ni balaa,musoma,tanga,mtwara,arusha,kagera,kigoma,tabora,iringa,geita,dah! Jumatatu ijayo mida kama i,kila kona ya nchi I itakuwa ni shangwe kubwa kwa wana ukawa

Piga kelele
 
Wana Mbeya, kwanini uwanja huo unaitwa hilo jina na sifa zake kubwa ni zipi?

Hivi kuna kiongozi yeyote alitoka Mbeya kipindi cha kudai uhuru? Mbona Mbeya mnapenda mabadiliko zaidi hata ya Musoma kwa Nyerere?

Nawapenda sana wana Mbeya.

Mkuu Ruanda Nzovwe ni uwanja Wa shule iitwayo Ruanda Nzovwe iko pembeni tu kidogo Mwa uwanja huo,
 
Sugu naye akawaingiza kinyumbu nyumbu waubadilishe jina uwe EL!
 
Wana Mbeya, kwanini uwanja huo unaitwa hilo jina na sifa zake kubwa ni zipi?

Hivi kuna kiongozi yeyote alitoka Mbeya kipindi cha kudai uhuru? Mbona Mbeya mnapenda mabadiliko zaidi hata ya Musoma kwa Nyerere?

Nawapenda sana wana Mbeya.

Walikuwepo walioshiriki kudai uhuru, mfano Mwakangale
 
Back
Top Bottom