matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,596
- 15,392
Makabila haya mawili licha ya uzuri wao huws yanakitu kinaitwa Mori. Ukiwachokoza nje ya uvumilivu wao wanapanda mori wanakuwa kama wanyama. Akili zinakuwa hazipo anafanya chochote.
Kwa bahati mbaya licha ya kuwa na sifa hii hatarishi ambayo makabira mengine mengi hayana bado ndio wanaoongoza kutembea na mikuki na sime katika maeneo yenye watu wengi. Kwa wakurya ukienda miji midogomidogo Tarime ni kawaida kukuta jamaa anapanga bila sababu yoyote. Na bahati mbaya wanasauti ya upole hivyo huwezi kujua umemkasirisha saa ngapi hasira za kumfanya atumie kisu, panga.
Nashauri, na na ungana na wazanzibari kwa dunia ya sasa mila ya kutembea na visu ikatazwe mijini. Kama wanatumia kwa ulinzi, zifunguliwe Ghala za silaha za jadi mijini. Wanazikabizi, wanauza dawa wakitaka kuingia lindoni wanazichukua.
Ni hayo tu.
Tatizo langu ni ule mori unasababishwa na vichuri na vinywaji mbalimbali vya jadi.
Kwa bahati mbaya licha ya kuwa na sifa hii hatarishi ambayo makabira mengine mengi hayana bado ndio wanaoongoza kutembea na mikuki na sime katika maeneo yenye watu wengi. Kwa wakurya ukienda miji midogomidogo Tarime ni kawaida kukuta jamaa anapanga bila sababu yoyote. Na bahati mbaya wanasauti ya upole hivyo huwezi kujua umemkasirisha saa ngapi hasira za kumfanya atumie kisu, panga.
Nashauri, na na ungana na wazanzibari kwa dunia ya sasa mila ya kutembea na visu ikatazwe mijini. Kama wanatumia kwa ulinzi, zifunguliwe Ghala za silaha za jadi mijini. Wanazikabizi, wanauza dawa wakitaka kuingia lindoni wanazichukua.
Ni hayo tu.
Tatizo langu ni ule mori unasababishwa na vichuri na vinywaji mbalimbali vya jadi.