Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Jan 12, 2012 #1 Kuna watu wanapenda kupost mada wakisema kwa wanaume tu,au kwa wanawake tu! Kwa tathmini niliyoifanya kwa muda sasa nimegundua ile jinsia ambayo haihusiki ndiyo huchangia sana hiyo thread kwanini hivi?
Kuna watu wanapenda kupost mada wakisema kwa wanaume tu,au kwa wanawake tu! Kwa tathmini niliyoifanya kwa muda sasa nimegundua ile jinsia ambayo haihusiki ndiyo huchangia sana hiyo thread kwanini hivi?
Washawasha JF-Expert Member Joined Aug 7, 2006 Posts 16,969 Reaction score 13,419 Jan 13, 2012 #2 kwasababu ya kujipendekeza. Nalog off
Mwali JF-Expert Member Joined Nov 9, 2011 Posts 7,012 Reaction score 5,613 Jan 13, 2012 #3 Kwa sababu mtu akiandika kwa wanaume tu lazima atawaponda wanawake, kwa hiyo ni defence mechanism !
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Jan 13, 2012 Thread starter #5 Washawasha said: kwasababu ya kujipendekeza. Nalog off Click to expand... mhhh na wewe huwa nii mmoja wapo,kwa hiyo huwa unajipendezeka?
Washawasha said: kwasababu ya kujipendekeza. Nalog off Click to expand... mhhh na wewe huwa nii mmoja wapo,kwa hiyo huwa unajipendezeka?
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Jan 13, 2012 Thread starter #6 Mwali said: Kwa sababu mtu akiandika kwa wanaume tu lazima atawaponda wanawake, kwa hiyo ni defence mechanism ! Click to expand... eeh mwali umenifungua macho,kumbe!
Mwali said: Kwa sababu mtu akiandika kwa wanaume tu lazima atawaponda wanawake, kwa hiyo ni defence mechanism ! Click to expand... eeh mwali umenifungua macho,kumbe!
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Jan 13, 2012 Thread starter #7 Kilot said: It's up to nyinyi Click to expand... what???
J joe peters Member Joined Dec 16, 2010 Posts 85 Reaction score 18 Jan 13, 2012 #8 kiherehere chao tu
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Jan 13, 2012 Thread starter #9 joe peters said: kiherehere chao tu Click to expand... angalau umeona maana mimi hata huwa sielewi kwanini unajibu usipohusika
joe peters said: kiherehere chao tu Click to expand... angalau umeona maana mimi hata huwa sielewi kwanini unajibu usipohusika
J joe peters Member Joined Dec 16, 2010 Posts 85 Reaction score 18 Jan 13, 2012 #10 kiherehere chao tu