Kwanini hivi jamani...

Haya mambo ndio maana huwa napenda kuwa kimyakimya. Unafukuzia kimyakimya, unakamata kimyakimya, unakula kimyakimya na ikitokea hujakamata au kakimbia unabaki kimyakimya. Hizi mbwembwe za njooni muone ni za kifala sana na unaweza kosa vingi mbeleni.
umeona
mtaka yote kwa pupa hukosa yoooteee

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Anakuwa hajafuata raha kafuata umbeya ili aje aumwage jf.
 
Nyeusiii;afu ngozi ngumu kama magamba ya mamba.
Hahahahahaha na makalio yao yasiyopakwa mafuta, tako limepauka kama miguu ya mwendawazimu halafu anajifanya K fyoko fyoko lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…