Kwanini hivi jamani...

Mmh. Hayo yataingia na kutoka. Kwani kuna wengine ndio hulka zao na hawajui kunyamaza.

Ila huwa nachukia sana na kuona aibu pia hasa pale ninapoona watu wanatoleana siri hadi za ndani ya mwili.
 
Ahsante kwa Kukiwakilisha Vyema Chama na kwa kukitetea.

Nafasi ya Itikadi Na Uenezi bado inakuhusu.
 
Kweli kabisa kaka siku zote ndege wafanano huruka pamoja na ndicho nilichokielewa na kukiona hata mimi.

Ila ni tabia mbaya sana.
 
Mmh. Hayo yataingia na kutoka. Kwani kuna wengine ndio hulka zao na hawajui kunyamaza.

Ila huwa nachukia sana na kuona aibu pia hasa pale ninapoona watu wanatoleana siri hadi za ndani ya mwili.
usiombe yakukute bora msambaziane PM hukohuko tujuage wenyewe huku tunachorana kuliko hapa wanasoma watu wengiii...inaumizaaa

sent from motorola bapa and nokia jeneza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…