Wadau kama mjuavyo walimu tumepata ajira tulizozisotea kwa takriban miez 6,
suala la hela ya kujikimu limekua ni siri kubwa, ukienda halmashauri, ukiomba waraka unaonekana "NUKSI", ivi kwanini hili jambo n la siri mno???
Haki yetu kupata taarifa, sio kama waajiriwa lakn pia km waTZ, Inakuaje jaman? Daah!
"walimu tuna hali ngumu"
suala la hela ya kujikimu limekua ni siri kubwa, ukienda halmashauri, ukiomba waraka unaonekana "NUKSI", ivi kwanini hili jambo n la siri mno???
Haki yetu kupata taarifa, sio kama waajiriwa lakn pia km waTZ, Inakuaje jaman? Daah!
"walimu tuna hali ngumu"