Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,160
Tukiweka ushabiki pembeni sioni kosa la gazeti, kichwa cha habari kinasema HIVI NDIVYO UKIMWI UNAVYOWAMALIZA MASTAA, ikawekwa picha ya Diamond na watu aliotoka nao na hao aliotoka nao wana kamba yao kiufupi walitaka kuonesha jinsi wanavyokulana wenyewe kwa wenyewe kwa hiyo kama ikitokea mmoja akanasa basi vinasambaa kwa kasi ya 4g.