jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,974
- 1,400
niambieni hawa jamaa wa korea ya kusini na kaskazini kila siku ni mizozo na kuonyeshana uwezo wao wa kivita..lakini hakuna kinachoendelea hili ajulikane nani mbabe...
Kwa ufupi korea ya kusini ni nchi iliyoendelea sana katika bara ya asia ikichukua nafasi ya 2 kwa maendeleo kwa asia,huku japan ikiongoza..,
kila siku warning mie nataka kuona mchezo wa hari halisi..huku baba yao US akiangalia kwa mbali ..huku Russia akiangalia kaskazini na US kusini..
China kimya kwani anagopa biAshara zitavurugika na majimbo yanayotaka kujitenga basi itakuwa wakati muafaka kujitenga.kwa maana hiyo vita hivyo viatasambaa asia ya mbali yote.
NATAKA KUONA GAME KAMA ENZI ZILE ZA IRAQ NA AFGHANISTAN KIPINDI CHA BUSH
Kwa ufupi korea ya kusini ni nchi iliyoendelea sana katika bara ya asia ikichukua nafasi ya 2 kwa maendeleo kwa asia,huku japan ikiongoza..,
kila siku warning mie nataka kuona mchezo wa hari halisi..huku baba yao US akiangalia kwa mbali ..huku Russia akiangalia kaskazini na US kusini..
China kimya kwani anagopa biAshara zitavurugika na majimbo yanayotaka kujitenga basi itakuwa wakati muafaka kujitenga.kwa maana hiyo vita hivyo viatasambaa asia ya mbali yote.
NATAKA KUONA GAME KAMA ENZI ZILE ZA IRAQ NA AFGHANISTAN KIPINDI CHA BUSH