Utajua ujui
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 249
- 832
.
Mbona kama Udom?
Jana hiyo interviewMbona kama Udom?
Mbona wako wengi sana.Jana hiyo interview
Nyomi ya leoView attachment 2720284
Mitaji mkuu shida.INASIKITISHA SANA
Hiyo nyomi hapo wanaenda kuwania nafasi chache tu zilizotangazwa.
Vijana shtukeni sekta ya kilimo ina fursa nyingi sana
Kazi zenyewe ni za 765k per month. Kila la kheri kwenu ila mtakuja kushtuka kwa kuchelewa na umri umeenda
Imagine kijana anaanza kazi ana miaka 33 baada ya miaka 27 tu kashastaafu 🤔
Kwa kuwa hana uzoefu na mtaa au biashara akipewa kiunua mgongo zote au nyingi ya hizo pesa anazipoteza mwisho wa siku presha, kisukari tunazika mstaafu akiwa na 65
Usaili wa kazi zipi?Nyomi ya leoView attachment 2720284
Mitaji ni changamoto ila inatafutwaMitaji mkuu shida.