CottonEyeJoe
JF-Expert Member
- Jan 8, 2008
- 331
- 73
TCRA tunaomba mliangalie hili tuweze kupata our Free-to-Air channels on DStv, Zuku, etc Decoders. Kwa nini niwe na decoder mbili
Makamba angalia hili bana
.
Hapa lazima harmonisation ifanyike haraka iwezekanavyo!Mbili tu! Ting (Agape Tv), Star Times (TBC), King"amuzi cha ITV/ Star Tv, ongezea Zuku na Dstv.
Usipoangalia utamiliki kituo cha kurusha na kupokea matangazo!
Hapa lazima harmonisation ifanyike haraka iwezekanavyo!
TCRA tunaomba mliangalie hili tuweze kupata our Free-to-Air channels on DStv, Zuku, etc Decoders. Kwa nini niwe na decoder mbili Makamba angalia hili bana .
ngoja sasa waingie mikoani kuzima hiyo mitambo yao itakuwa ni issue nzito, coz hawajatoa elimu ya kutosha hasa mikoani na hayo makampuni yanayohusika na uuzaji wa ving'amuzi na yenyewe hayafahamiki vya kutosha na jinsi wanavyoendasha hiyo biashara(utoaji huduma), afadhali mjini mnawaelewa(tcra) lakini huko mbwinde hata hawaelewi kinachoendelea, tumekurupuka kwenye hili