GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,671
Binafsi naamini hata yule msomaji mzuri wa Riwaya tu ana uwezo
mkubwa wa kufikiri kuliko watu wasiosoma kabisa vitabu, Naombeni
ufafanuzi kwanini Watanzania wamekuwa si wapenzi wa kusoma vitabu
kama siku za nyuma?
Binafsi siwezi kusafiri safari ndefu bila kuwa na kitabu cha kusoma,
watanzania wamekuwa mabingwa kwenye meza za magazeti kusoma
vichwa vya habari bila kununua, tena kuna mtu mmoja namfahamu ikifika
asubuhi tu lazima achukuwe miwani kwenda kusoma vichwa vya habari bila
kununua lakini akiona ile mikanda ya kina KIRIKOU lazima anunue, hivi kuna
tatizo gani linasababisha yote haya,
Maoni yangu: tanzania ifute ushuru kwa viwanda vyote vinavyohusika
na hatua yoyote ya uchapishaji wa vitabu, pengine unafuu utasaidia kuinua
hamasa ya watanzania kujisomea.
NB: hata post kama hii wengine hushindwa kusoma eti ni ndefu,
Wadau naomba mchango wenu na mapendekezo ya nini kifanyike.
mkubwa wa kufikiri kuliko watu wasiosoma kabisa vitabu, Naombeni
ufafanuzi kwanini Watanzania wamekuwa si wapenzi wa kusoma vitabu
kama siku za nyuma?
Binafsi siwezi kusafiri safari ndefu bila kuwa na kitabu cha kusoma,
watanzania wamekuwa mabingwa kwenye meza za magazeti kusoma
vichwa vya habari bila kununua, tena kuna mtu mmoja namfahamu ikifika
asubuhi tu lazima achukuwe miwani kwenda kusoma vichwa vya habari bila
kununua lakini akiona ile mikanda ya kina KIRIKOU lazima anunue, hivi kuna
tatizo gani linasababisha yote haya,
Maoni yangu: tanzania ifute ushuru kwa viwanda vyote vinavyohusika
na hatua yoyote ya uchapishaji wa vitabu, pengine unafuu utasaidia kuinua
hamasa ya watanzania kujisomea.
NB: hata post kama hii wengine hushindwa kusoma eti ni ndefu,
Wadau naomba mchango wenu na mapendekezo ya nini kifanyike.