gsm?Wametokea kwny kale kakikundi ka wale vijana wa kujitoa ufahamu.
amewakilishwa na hapiSwali hapa ni sababu ya Mkuu wa mkoa kukaimiwa, hatakama angekuwa amekaimiwa na mtu yeyote, nini hasa sababu ya yeye kukaimiwa? je anaumwa?, ama yuko likizo? just curious.
... Dengelua not Dengerua... Hii ni Pombe ya heshima aisee...Kwa kawaida RC akiwa safari au likizo kuna DC mmoja wapo huwa ana kaimu nafasi hiyo. Lakini ni yule Senior zaidi ya wengine na sidhani kama Hapi ni senior kwa wengine waliopo. Mambo yanakwenda shagalabagala sasa hivi kama club ya pombe ya Wanzuki au dengerua
Heshima kwenu wana Jf, nikiwa naangalia taarifa ya habari ITV leo saa mbili jioni, nimemwona mkuu wa wilaya ya kinondoni Mh Ally Hapi akiwapongeza Zantel kwa kulipa deni la Ml300, hapo hapo mtangazaji akimwita "kaimu
mkuu wa mkoa wa dar es salaam." Mwenye kujua atujuze sababu ya Mh Paul Makonda kukaimiwa, au yupo likizo? Natanguliza shukrani.
Robot ikishasetiwa usitegemee iende kinyume, huyo siyo binadamu, wewe unashangaa kwa sababu hujui kwamba mtu mmoja anaendesha zaidi ya ID 30 jukwaa la siasa.Chadema imeingiaje hapa mkuu mdadavuzi
Hapana kawaida anatakiwa awe seniorsi lazma awe senior ila anayeaminika kwa boss.. hata kwako ukiondoka sio lazma majukumu umuachie mtoto mkubwa ila Yule atakayeweza kutimiza majukumu we uliwa haupo
Jamani tumefikia huko watanzaniaatakua kafa
Ha ha ha! Sawa mkuu nimekuelewa. Basi tuseme Kimpumu... Dengelua not Dengerua... Hii ni Pombe ya heshima aisee...
kwa nini nifikirie tofauti?Kwanini umefikiria hivyo mkuu?
kabla walikua Lumumba FCgsm?
Sijui kama ameshaanza kuhesabu miaka iliyobakia maana sijui atafanya kazi na waziri gani kwa sasa akija kuwa Rais! Amewavuruga wana ccm wote kw kiherehere!! Ikiisha miaka 10 ya huyu aliepo na yeye ajiandae kustaafu siasa maana wata dump sababu misifa yake ya kijinga!! Atafute cha kufanya.........!!!

Ungemjibu tu kama una uelewa m@m@ makondaktaKweli Dr.Slaa aliondoka na akili zote Chadema.