Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,454
- 10,756
Ukiwa Tabora kuna ZOO kama unaenda National kuna kila aina ya wanyama lakini huyu mwamba hayupo.
Kule sijui Arusha kuna shamba la kufuga wanyama na watu wanacheza mpaka na Simba, lakini hili dume Nyati halipo.
Nini shida mpaka huyu mtemi anaogopwa kufugwa.
Kule sijui Arusha kuna shamba la kufuga wanyama na watu wanacheza mpaka na Simba, lakini hili dume Nyati halipo.
Nini shida mpaka huyu mtemi anaogopwa kufugwa.

