Kwanini hakuna Zoo ya kufuga Nyati?

Kwanini hakuna Zoo ya kufuga Nyati?

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,454
Reaction score
10,756
Ukiwa Tabora kuna ZOO kama unaenda National kuna kila aina ya wanyama lakini huyu mwamba hayupo.

Kule sijui Arusha kuna shamba la kufuga wanyama na watu wanacheza mpaka na Simba, lakini hili dume Nyati halipo.

Nini shida mpaka huyu mtemi anaogopwa kufugwa.
FB_IMG_1681231957239.jpg
 
Ukiwa Tabora kuna ZOO kama unaenda National kuna kila aina ya wanyama lakini huyu mwamba hayupo.

Kule sijui Arusha kuna shamba la kufuga wanyama na watu wanacheza mpaka na Simba, lakini hili dume Nyati halipo.

Nini shida mpaka huyu mtemi anaogopwa kufugwa.View attachment 2584899
Huyu Mwamba ni ng'ombe aliyechangamka. Hana lolote. Ni kitoweo tu kwa simba.
 
Ukiwa Tabora kuna ZOO kama unaenda National kuna kila aina ya wanyama lakini huyu mwamba hayupo.

Kule sijui Arusha kuna shamba la kufuga wanyama na watu wanacheza mpaka na Simba, lakini hili dume Nyati halipo.

Nini shida mpaka huyu mtemi anaogopwa kufugwa.View attachment 2584899
Nadhani kutunza jamaa yako ni kazi kweli kweli kiasi cha kuweza kutumia kuliko anachoweza kuzalisha. Si huyo tu. Iko wapi zoo ya twiga, tembo au fisi?
 
India Nyati wanafugwa kama ng'ombe tu na wafugaji wa kawaida tu vijijiji na huwatumia kulima mashambani na kukokota mikokoteni ya mizigo

Waweza pishana nao kibao wakichungwa na kijana mdogo tu kupelekwa malishoni

India hata tembo wanafugwa majumbani vijijini na hutumika kwa kazi mbalimbali za kilimo na kubeba mizigo na hata kuwatumia kama punda .mtu anapanda tembo anaenda aendako
 
India Nyati wanafungwa kama ng'ombe tu na wafugaji wa kawaida tu vijijiji na huwatumia kulima mashambani ns kukokota mikokoteni ya mizigo

Waweza pishana nao kibao wakichungwa na kijana mdogo tu kupelekwa malishoni

India hata tembo wanafugwa majumbani vijijini na hutumika kwa kazi mbalimbali za kilimo na kubeba mizigo na hata kuwatumia kama punda .mtu anapanda tembo anaenda aendako
Kwa hio nyati wa Serengeti ni species hio hio iliyoko kwa kanjibai?

brother una Jina Kubwa ila sasa dah...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom