Kwanini hakuna ugaidi China?

hakuna muislam mpuuzi akapigane sehemu kisa kuona muislam mwenzake ananyanyasika.Ugaidi ni mambo yanayotengenezwa kwa manufaa yao binafsi ili kuvuruga tu amani za watu na kugombanisha pia.

So haiwezekani muislam wa tanzania akaenda kulipua Congo sababu kaona muislam wa Congo ananyanyasika hakunaga mpuuzi huyo.

UGAIDI UNATENGENEZWA,WATU WANAWEKEZA KWA MANUFAA YA KWAO ILI KUVURUGA SEHEMU HISIKA KISHA WAO KUPOTEA NA KUWAACHIA SEKESEKE WENYEWE
 
Ok mkuu sasa kma ni miradi ya wahuni tu kwanini wasimtengenezee na China sasa hao magaidi feki?
 
Inawezekana Ugaidi upo pia huko China sema hauripotiwi na vyombo vyao vya habari sababu ya udhibiti mkubwa wa serikali.
Nilishangaa issue ya westgate ama Garissa ziliwekwa front page na Kenya media ili magazeti yauze bila kujua yalichafua taswira ya Kenya kma nchi isiyo salama!!

Nakumbuka kipindi cha corona CGTN ya wachina ilikua inaweka vipindi vya propaganda kuonyesha wagonjwa maelfu waliopona, miundombinu, maliasili n.k ili kudivert watu kutofikiria kma Covid 19 bado ipo china!!

Kwa hili nawapongeza, hizi media usipocontrol zinaweza chafua CV ya nchi kabisa.
 
Dah
Dah
Hatare
 

Mkuu yuor not informed, Fuatilia kuhus waislam wanawekwa kizuizini.
 
Mkuu yuor not informed, Fuatilia kuhus waislam wanawekwa kizuizini.
Mkuu ndio maana nmefungua uzi weka unachojua tupate uelewa ila kusema mtu hayupo informed afu unaishia hapo haiwezi saidia kujibu swali la uzi.

Tuzingatie hilo
 
Aisee!
China inamuhitaji Mungu!
Kumbe ndo maana China iko vile
duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh
sio mchezo!
Nimeipenda kwakweli!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana Ugaidi upo pia huko China sema hauripotiwi na vyombo vyao vya habari sababu ya udhibiti mkubwa wa serikali.
Ninachoamini ungekuepo dunia ingeuona kumbuka hata izo detention camp zmeoneshwa na media za marekan,Western kama BBC,sky news.....wanaminya vyombo vyao lakin wanashindwa vya nje kwasababu nawawo media za China zipo nchi za magharibi....KUKATAZA NISAWA NA KUSEMA KILA MTU ARIPORT HABARI ZAKE.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…