Uchaguzi 2020 Kwanini hakuna tafiti za mgombea anayeongoza kwenye kura za maoni ya Urais?

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Hakuna tena tafiti za TWAWEZA SNOVET na wengine kutuonyesha nani anaongoza mbio za urais 2020 kama ilivyokuwa 2010 na 2015. Pia vyama kwanini havipitishi kula ya maoni kwenye vyama vyao?

Vyama kama Chadema nilitegemea wapitishe kura ya maoni kwa nchi nzima na kupata sample pure ya mgombea anayekubalika kwa wanachama, jamii za kidini, vyombo vya dora, na watanzania kwa ujumla.

Kwanini Chadema na ACT hawataki kujitofautisha na vyama vingine kama CCM ambao tulishawazoea wanakujaga na majina mfukoni? tatizo nini kwa upinzani?
 
Kufanya tafiti ya nini wakati mshindi anajulikana au hujui tafiti ni hulenga kupata ukweli na hapa ukweli unajulikana
 
Mkuu, huo uhuru wa kufanya hivyo utatoka wapi? Kila taasisi ina hofu ya kuchukuliwa kali ikiwemo kukutana na nguvu ya dola endapo matokeo ya tafiti zao hayatawapendeza watawala. Kwa kila jambo muhimu tafiti na utaalamu zimewekwa ktk gunia zito jeusi ili kukwepa ukweli kujulikana.
 
Ebu kufanya "rough observation" hapa jukwaani ya "opinion poll" kati Mh. Magufuli dhidi ya Mh. Lissu kama njia ya kutaka kufanya majaribio kupitia "mood borometer" uone matokeo yake, achilia mbali kazi za kitafiti.
 
Hakuna tena tafiti za TWAWEZA SNOVET na wengine kutuonyesha nani anaongoza mbio za urais 2020 kama ilivyokuwa 2010 na 2015. Pia vyama kwanini havipitishi kula ya maoni kwenye vyama vyao?

Vyama kama Chadema nilitegemea wapitishe kura ya maoni kwa nchi nzima na kupata sample pure ya mgombea anayekubalika kwa wanachama, jamii za kidini, vyombo vya dora, na watanzania kwa ujumla.

Kwanini Chadema na ACT hawataki kujitofautisha na vyama vingine kama CCM ambao tulishawazoea wanakujaga na majina mfukoni? tatizo nini kwa upinzani?
Tumenyimwa fweza kutokana na udikteta wa John Pombe Magufuli. Wahisani wamekula kona
 
Hakuna tena tafiti za TWAWEZA SNOVET na wengine kutuonyesha nani anaongoza mbio za urais 2020 kama ilivyokuwa 2010 na 2015. Pia vyama kwanini havipitishi kula ya maoni kwenye vyama vyao?

Vyama kama Chadema nilitegemea wapitishe kura ya maoni kwa nchi nzima na kupata sample pure ya mgombea anayekubalika kwa wanachama, jamii za kidini, vyombo vya dora, na watanzania kwa ujumla.

Kwanini Chadema na ACT hawataki kujitofautisha na vyama vingine kama CCM ambao tulishawazoea wanakujaga na majina mfukoni? tatizo nini kwa upinzani?

REDET.
 
Kama unataka kufanya tafiti hakikisha majibu yake yatawapendeza watawala, vinginevyo utaulizwa uraia wako, sijui lete cheti chako cha kuzaliwa na cha bibi yako, mpaka ukome.
 
Kwani kunauchaguzi mwaka huu au ni kumpitisha jpm akamilishe muhula wake,uchaguzi ni 2025 ,jpm hana mpinzani

Sent using Jamii Forums mobile app

Hayo ndio matamanio ya kila mwanaccm hasa wale wenye maslahi binafsi na madaraka ya Magufuli. Wanaccm maslahi wanajua fika Magufuli hawezi siasa za ushindani, hivyo wanafanya mbinu zote nzuri na hasa hasa chafu kuhakikisha hakutani na ushindani maana itakuwa balaa. Hawataki yamkute Magufuli yaliyomkuta JK uchaguzi wa 2010 dhidi ya Dr. Slaa.
 
Hakuna tena tafiti za TWAWEZA SNOVET na wengine kutuonyesha nani anaongoza mbio za urais 2020 kama ilivyokuwa 2010 na 2015. Pia vyama kwanini havipitishi kula ya maoni kwenye vyama vyao?

Vyama kama Chadema nilitegemea wapitishe kura ya maoni kwa nchi nzima na kupata sample pure ya mgombea anayekubalika kwa wanachama, jamii za kidini, vyombo vya dora, na watanzania kwa ujumla.

Kwanini Chadema na ACT hawataki kujitofautisha na vyama vingine kama CCM ambao tulishawazoea wanakujaga na majina mfukoni? tatizo nini kwa upinzani?

Moja ya sheria kandamizi za mwanzo mwanzo awamu hii ilipoingia madarakani ilikuwa ni ya tafiti. Lengo ilikuwa ni kudhibiti hilo wazo lako. Nadhani unajua yaliyoikuta Twaweza na tafiti zake.
 
Twaweza wapo?
Hakuna tena tafiti za TWAWEZA SNOVET na wengine kutuonyesha nani anaongoza mbio za urais 2020 kama ilivyokuwa 2010 na 2015. Pia vyama kwanini havipitishi kula ya maoni kwenye vyama vyao?

Vyama kama Chadema nilitegemea wapitishe kura ya maoni kwa nchi nzima na kupata sample pure ya mgombea anayekubalika kwa wanachama, jamii za kidini, vyombo vya dora, na watanzania kwa ujumla.

Kwanini Chadema na ACT hawataki kujitofautisha na vyama vingine kama CCM ambao tulishawazoea wanakujaga na majina mfukoni? tatizo nini kwa upinzani?
 
Back
Top Bottom