USSR
Authubillah minna shaitwan rwajim, Bismillah Rahman Rahim.
Wal asr innali innsaan la fi husrin illa nladhinna ammanu wa aminun swali hat watawasau sabir haq watawasau bir sabr.
Kwanza Mtume hakusoma wapa hakujua kuandika.
Pili kwa Waislam Bwana Mtume S.A.W ameelezewa Muonekano wake kwenye sirah (historia) na pua ameelezewa sana na Maawahaba zake juu ya Muonekano wake.
WASIFU WA NJE
1. Hakua mrefu wa kusababisha uumie shingo kumtizama na hakuwa mfupi wa kuinamisha shingo ili umtizame.
2. Alikua na prophet sill ambayo inaelezewa kua ni nywele zilizoota katikati ya mabega take.
3. Alipewa nusu ya uzuri wa Yusuph Aleyh Salaam katika riwaya moja na nyingine zinaelezea kwamba alipewa nusu ya uzuri wa dunia.
4. Bwana Mtume S.A.W alikua akitembea kwa unyenyekevu na mwendo wake ulikua kama mtu anayeshuka kwenye kimteremko.
5. Bwana Mtume S.A.W alikua na ndevu ndefu laini nyeusi aidha alikua na nywele zilizoota kudondokea mgongoni, (baada ya uislam kuwa umeanza kushika kasi ali introduse sunna ya kunyoa kipara na kufuga ndevu.
6. Uso wake ulikua na nuru kama ya mbalamwezi
WASIFU WA NDANI.
1. Bwana Mtume S.A.W alikua fasaha katika matamshi
2. Alikua mwerevu, mwaminifu, mpole, mkarim sana kwa yeyote yule kadiri na muislam
3. Alikua kiongozi master mind na amir jeshi wa jeshi la Waislam.
NB
Huo wasifu wa ndani nimekupa nyongeza tu.
Aidha Bwana Mtume alikua na watoto saba ambao alizaa kwa mke mmoja tu na ni Mwanae Fatma pekee ndiye aliyekua hai wakati wa kifo cha baba yake.
Wajukuu zake ni wawili toka kwenye tumbo la Fatma ambaye ni HASSAN NA HUSSEIN.
KWANINI HAKUNA PICHA YAKE?
Kwa mujibu wa docrine ni Haram kuwa na picha yake na hii inazo asili mbili
1. Walihofia vizazi vijavyo vitarudi kwenye kuchonga sanam lake na kuanza kuliabudu Kama ilivyokua kwa mapagani wa Macca na
2. Mwenyezi Mungu anajua zaidi ya kwanini aliikataza uchoraji wa picha yake.
Sent using
Jamii Forums mobile app