KWANINI HAKUNA MTANZANIA ALIE WEZA MILIKI GARI

Yuda Legacy

JF-Expert Member
Jun 21, 2023
534
1,746
KWANINI HAKUNA MTANZANIA ALIE WEZA MILIKI GARI HII


Licha ya Tanzania kuwa na watu matajiri Lakini kwanini mpaka sasa sijaona mtanzania yoyote alie weza kumiliki gari hii je kuna shida gani

Aina ya Gari :- LAMBORGHINI URUS ni luxury SUV car ambayo kwa ardhi yetu ya kibongo na ilivyo juu naona haiwezi sumbua je shida nini wakuu tunashindwa vuta chuma hii

Hata sisi tuwaoneshe wazungu tunaweza miliki vyuma vyao shida ipo wapi wakuu

Lamborghini_Urus_19.09.20_JM_(2)_(cropped).jpg
Screenshot_2023-11-19-17-43-17-34.jpg
 
KWANINI HAKUNA MTANZANIA ALIE WEZA MILIKI GARI HII


Licha ya Tanzania kuwa na watu matajiri Lakini kwanini mpaka sasa sijaona mtanzania yoyote alie weza kumiliki gari hii je kuna shida gani

Aina ya Gari :- LAMBORGHINI URUS ni luxury SUV car ambayo kwa ardhi yetu ya kibongo na ilivyo juu naona haiwezi sumbua je shida nini wakuu tunashindwa vuta chuma hii

Hata sisi tuwaoneshe wazungu tunaweza miliki vyuma vyao shida ipo wapi wakuu

View attachment 2818890View attachment 2818891

Mchawi Tochi, TRA, Mafundi Vishoka, Babara ya matuta ya viazi na Vipuri.
 
KWANINI HAKUNA MTANZANIA ALIE WEZA MILIKI GARI HII


Licha ya Tanzania kuwa na watu matajiri Lakini kwanini mpaka sasa sijaona mtanzania yoyote alie weza kumiliki gari hii je kuna shida gani

Aina ya Gari :- LAMBORGHINI URUS ni luxury SUV car ambayo kwa ardhi yetu ya kibongo na ilivyo juu naona haiwezi sumbua je shida nini wakuu tunashindwa vuta chuma hii

Hata sisi tuwaoneshe wazungu tunaweza miliki vyuma vyao shida ipo wapi wakuu

View attachment 2818890View attachment 2818891
Aisee!
 
Back
Top Bottom