Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 534
- 1,746
KWANINI HAKUNA MTANZANIA ALIE WEZA MILIKI GARI HII
Licha ya Tanzania kuwa na watu matajiri Lakini kwanini mpaka sasa sijaona mtanzania yoyote alie weza kumiliki gari hii je kuna shida gani
Aina ya Gari :- LAMBORGHINI URUS ni luxury SUV car ambayo kwa ardhi yetu ya kibongo na ilivyo juu naona haiwezi sumbua je shida nini wakuu tunashindwa vuta chuma hii
Hata sisi tuwaoneshe wazungu tunaweza miliki vyuma vyao shida ipo wapi wakuu
Licha ya Tanzania kuwa na watu matajiri Lakini kwanini mpaka sasa sijaona mtanzania yoyote alie weza kumiliki gari hii je kuna shida gani
Aina ya Gari :- LAMBORGHINI URUS ni luxury SUV car ambayo kwa ardhi yetu ya kibongo na ilivyo juu naona haiwezi sumbua je shida nini wakuu tunashindwa vuta chuma hii
Hata sisi tuwaoneshe wazungu tunaweza miliki vyuma vyao shida ipo wapi wakuu