PreGE2025 Kwanini Gwajima anaonekana ni mzalendo baada ya press yake ya jana?

PreGE2025 Kwanini Gwajima anaonekana ni mzalendo baada ya press yake ya jana?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,636
Reaction score
81,533
Hizi ndo sababu zangu kwamba this guy is patriotic (Mzalendo).

Kwa nafasi aliyonayo Gwajima kuanzia Kijamii, kisiasa, kiuchumi.

Sifikirii Kama anatafuta umaarufu , na sifikirii Kama anatufa political mileage au anatufa Personal interest.

Kwahiyo angeamua kukaa kimya asiongee chochote kuhusu utekaji bado asingepoteza chochote na angeendelea kuwa safe tu.

Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka

Ila yeye kuongea ameonekana ni mzalendo kwakuwa amejaribu kuvaa viatu Vya wanaopitia hayo madhira.

Kwa UPENDO Gwajima anastahili pongezi Sana.

Kuhusu mnaosema anapuliza na kuuma jibu ni hapana Ila anauma Ila alichofanya ni kutumia lugha ya kifalisafa zaidi.

Watu wenye Elimu ya theolojia au walisoma philosophy wanelewa haya mambo.

Unapozungumza ni sawa na MTU anayejenga Nyumba ya kuishi hauwezi kuweka mlango mmoja tu wakuingilia bila kuweka na wakutokea.

The guy is smart.
 
Binadamu huwa wana kawaida ya ku side na lesser evil, Gwajima ana madhambi mengi lakini wengi wapo tuyari kusahau hayo na kuungana naye dhidi ya utekaji na mauaji.
 
Kamfunga paka kengele, na katoa angalia wakijibu, anarudi part 2 ndio itakuwa motoo
 
kuna kuchoka wataibuka wengi tu
 
Hizi ndo sababu zangu kwamba this guy is patriotic (Mzalendo).

Kwa nafasi aliyonayo Gwajima kuanzia Kijamii , kisiasa , kiuchumi.

Sifikirii Kama anatafuta umaarufu , na sifikirii Kama anatufa political mileage au anatufa Personal interest.

Kwahiyo angeamua kukaa kimya asiongee chochote kuhusu utekaji bado asingepoteza chochote na angeendelea kuwa safe tu.

Ila yeye kuongea ameonekana ni mzalendo kwakuwa amejaribu kuvaa viatu Vya wanaopitia hayo madhira .

Kwa UPENDO Gwajima anastahili pongezi Sana .

Kuhusu mnaosema anapuliza na kuuma jibu ni hapana Ila anauma Ila alichofanya ni kutumia lugha ya kifalisafa zaidi.

Watu wenye Elimu ya theolojia au walisoma philosophy wanelewa haya mambo .

Unapozungumza ni sawa na MTU anayejenga Nyumba ya kuishi hauwezi kuweka mlango mmoja tu wakuingilia bila kuweka na wakutokea .

The guy is smart.

Hapa umeongea kwa akili. Gwajima ni mtu very smart. Jana ametumia lugha Rahisi lakini Ngumu. Na alikuwa akichagua maneno akishutumu kwa akili na ameweka wazi Mhusika ni nani. Hakuweka siri kaweka wazi. Ukimsikiliza kasema kabisa mhusika ndiye mteuzi na ana kikundi ambacho wakikiona wanasema hiii.... Hapana. Gwajima ni msomi.
 
Hapa umeongea kwa akili. Gwajima ni mtu very smart. Jana ametumia lugha Rahisi lakini Ngumu. Na alikuwa akichagua maneno akishutumu kwa akili na ameweka wazi Mhusika ni nani. Hakuweka siri kaweka wazi. Ukimsikiliza kasema kabisa mhusika ndiye mteuzi na ana kikundi ambacho wakikiona wanasema hiii.... Hapana. Gwajima ni msomi.
Absolute ,✊🏿
 
Tapeli huyo unasubir uchaguz ukarbie ndo unatoka hadharani kuongea
Kwann asingesema kule bungeni
 
Hizi ndo sababu zangu kwamba this guy is patriotic (Mzalendo).

Kwa nafasi aliyonayo Gwajima kuanzia Kijamii , kisiasa , kiuchumi.

Sifikirii Kama anatafuta umaarufu , na sifikirii Kama anatufa political mileage au anatufa Personal interest.

Kwahiyo angeamua kukaa kimya asiongee chochote kuhusu utekaji bado asingepoteza chochote na angeendelea kuwa safe tu.

Ila yeye kuongea ameonekana ni mzalendo kwakuwa amejaribu kuvaa viatu Vya wanaopitia hayo madhira .

Kwa UPENDO Gwajima anastahili pongezi Sana .

Kuhusu mnaosema anapuliza na kuuma jibu ni hapana Ila anauma Ila alichofanya ni kutumia lugha ya kifalisafa zaidi.

Watu wenye Elimu ya theolojia au walisoma philosophy wanelewa haya mambo .

Unapozungumza ni sawa na MTU anayejenga Nyumba ya kuishi hauwezi kuweka mlango mmoja tu wakuingilia bila kuweka na wakutokea .

The guy is smart.
Ancle hapo pana mambo mawili.

Moja: Huyu ametumwa kuacha watanzania njia panda ya uteka raia kwa sababu sauti zimelia mpaka nje. Huo ni fisi katupiwa mfupa ahangaike nao

Pili: Anaweza kuwa upande wa malalamiko na wananchi ila tutaona kama atafanyiwa kama wengine wanavyofanyiwa na kuitwa polisi kutoa maelezo.
Hajataja kundi hilo linaitwa je na limeweka kambi wapi? Angetutajia hata majina kumi na mikao walio zaliwa. Tukapambane na ndugu zao. Wanatia hasira kinyama.

Chadema msimshirikishe au kuongea nae anaweza kuwa donda ndugu.

Bado nabakia kwamba ametumwa kuzima mota kwa raia wasitaje askari. Wananchi wababaike hawaju mara kuna kikundi.

Sauti yetu ibaki palepale ni askari wanateka raia
 
Mfalme zumaridi anatafutia engo akose sifa za kuwa baba wa kanisa wanachofanya ni kuchokoza nyuki tu.
 
Kafanya vyema ila mbn kipindi kile mwenda zake yupo hakusimama kuongea aongee leo??maana yanayofanyika sasa ni kama kipindi kile tu
 
Hizi ndo sababu zangu kwamba this guy is patriotic (Mzalendo).

Kwa nafasi aliyonayo Gwajima kuanzia Kijamii , kisiasa , kiuchumi.

Sifikirii Kama anatafuta umaarufu , na sifikirii Kama anatufa political mileage au anatufa Personal interest.

Kwahiyo angeamua kukaa kimya asiongee chochote kuhusu utekaji bado asingepoteza chochote na angeendelea kuwa safe tu.

Ila yeye kuongea ameonekana ni mzalendo kwakuwa amejaribu kuvaa viatu Vya wanaopitia hayo madhira .

Kwa UPENDO Gwajima anastahili pongezi Sana .

Kuhusu mnaosema anapuliza na kuuma jibu ni hapana Ila anauma Ila alichofanya ni kutumia lugha ya kifalisafa zaidi.

Watu wenye Elimu ya theolojia au walisoma philosophy wanelewa haya mambo .

Unapozungumza ni sawa na MTU anayejenga Nyumba ya kuishi hauwezi kuweka mlango mmoja tu wakuingilia bila kuweka na wakutokea .

The guy is smart.
Unapozungumza ni sawa na MTU anayejenga Nyumba ya kuishi hauwezi kuweka mlango mmoja tu wakuingilia bila kuweka na wakutokea .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom