matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 9,462
- 23,246
Utajiri ni watu. Ni rahisi kutajirika ukiwa kwenye watu wengi kuliko ukiwa mwenye porini eti unatafuta maisha.
Vijijini ni kwenda kuchukua mali ili uzitele kwa watu wengi utajirike.
Ukiwa msomi graduate halafu ukakata network na kukimbilia kijijini porini eti kutafuta maisha na utajiri unajipoteza.
Umiza kichwa katikati ya hao watu unaweza kufanya nini ukatoboa.
Kurudi vijijini au mahali pasipo na watu wengi ni kujirudisha zama za mawe za kale.
Kumbuka kukaa vijijini ni adhabu, ndio maana Mungu alimpa adhabu Kaini kwa kumuweka NOD ( Mahala pasipo watu).
Ni hilo tu.
Vijijini ni kwenda kuchukua mali ili uzitele kwa watu wengi utajirike.
Ukiwa msomi graduate halafu ukakata network na kukimbilia kijijini porini eti kutafuta maisha na utajiri unajipoteza.
Umiza kichwa katikati ya hao watu unaweza kufanya nini ukatoboa.
Kurudi vijijini au mahali pasipo na watu wengi ni kujirudisha zama za mawe za kale.
Kumbuka kukaa vijijini ni adhabu, ndio maana Mungu alimpa adhabu Kaini kwa kumuweka NOD ( Mahala pasipo watu).
Ni hilo tu.
