GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Abiria wa kawaida anaweza kusafiri kwa 50,000 lakini umbali huo huo kwa maiti ikawa milioni moja mpaka mbili au zaidi kidogo.
Hata kama maiti haina mkao wa kawaida wa binadamu basi angalau ingezidi mara 2 au 3 kwanini gharama zinakuwa juu sana?
Kwa mliowahi kusafirisha maiti kwenye ndege vipi nako gaharama zinaweza kuwa mara 10 ya nauli ya kawaida?
Hata kama maiti haina mkao wa kawaida wa binadamu basi angalau ingezidi mara 2 au 3 kwanini gharama zinakuwa juu sana?
Kwa mliowahi kusafirisha maiti kwenye ndege vipi nako gaharama zinaweza kuwa mara 10 ya nauli ya kawaida?