kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Hii ni taarifa nimejaribu kuitafuta lakini sijafanikiwa kuiona.
Nilichofanikiwa kuona ni kwamba, hawa wawili yaani marehemu George na Derek waliwahi kufanya kazi pamoja club moja ya usiku. Kwa hiyo walifahamiana. Maana George naye inasemekana alifanya kazi za security kama alivyofanya Derek.
Najiuliza sana, hii chuki iliyopo kati ya wazungu kwa watu weusi, ingekuwa kwa kiwango hicho tunachoaminishwa, je watu wangeandamana kiasi hicho kupinga tukio hilo? Kwa nini waandishi hawataki kueleza mwanzo wa stori ilivyokuwa? Je George alijaribu kupambana na askari ama alijisalimisha?
Nilichofanikiwa kuona ni kwamba, hawa wawili yaani marehemu George na Derek waliwahi kufanya kazi pamoja club moja ya usiku. Kwa hiyo walifahamiana. Maana George naye inasemekana alifanya kazi za security kama alivyofanya Derek.
Najiuliza sana, hii chuki iliyopo kati ya wazungu kwa watu weusi, ingekuwa kwa kiwango hicho tunachoaminishwa, je watu wangeandamana kiasi hicho kupinga tukio hilo? Kwa nini waandishi hawataki kueleza mwanzo wa stori ilivyokuwa? Je George alijaribu kupambana na askari ama alijisalimisha?