Na Bado zitarudi tu. Kwanza zilikuwepo mnazovaa sasa hivi zikiitwa mdomo wa chupa. Baadae zikaja hizi buga
aise!
hizo ni suruali au sketi?!
kweli binaadamu tumepitia mabadiliko makubwa sana!!
Na Bado zitarudi tu. Kwanza zilikuwepo mnazovaa sasa hivi zikiitwa mdomo wa chupa. Baadae zikaja hizi buga
Aisee hapa ukijichanganya kwenda umekwisha, mbuzi wako ale majani ya miti ya jeshini, hihihiiiii! ! !Mkuu Ata wanajeshi wa Enzi izo walikuwa wastahalabu sana..View attachment 2012952
Kfc haikuwepoHapakua na chips, mayonaiz, juisi za viwandani, anasa anasa, shughuli za kutumia nguvu...unene na anasaanasa ilikua mambo ya matajiri.
Kfc haikuwepo
Mngenenepaje wakati kula yenu yenyewe ilikuwa ya tabu Hadi mkimbizane na magari ya unga wa "YANGA"(njano) wa ENIEMSII????
Hilo bugaloo
aise!
hizo ni suruali au sketi?!
kweli binaadamu tumepitia mabadiliko makubwa sana!!
DengrizNa Bado zitarudi tu. Kwanza zilikuwepo mnazovaa sasa hivi zikiitwa mdomo wa chupa. Baadae zikaja hizi buga
Mkuu fashion huwa inajirudia sometimes so usishangae hizo pigo kuwa fashion kwa kizazi kijacho
aise!
hizo ni suruali au sketi?!
kweli binaadamu tumepitia mabadiliko makubwa sana!!
Dah...Mkuu Ata wanajeshi wa Enzi izo walikuwa wastahalabu sana..View attachment 2012952