20th of changes
Member
- Oct 2, 2021
- 7
- 7
Mkuu Ata wanajeshi wa Enzi izo walikuwa wastahalabu sana..View attachment 2012952
🤣🤣🤣 asked kwel old is goldMkuu Ata wanajeshi wa Enzi izo walikuwa wastahalabu sana..View attachment 2012952
Mkuu Ata wanajeshi wa Enzi izo walikuwa wastahalabu sana..View attachment 2012952
🤣🤣🤣 asked kwel old is goldMkuu Ata wanajeshi wa Enzi izo walikuwa wastahalabu sana..View attachment 2012952
Lugalo mkuuDah...
Ama kweli Mungu ni mkubwa! Hivi unajua nilikuwa nimedata kwa kuhangaika kutafuta alikokuwa huyu mbuzi?!
Hapa ndipo ninapoipenda Jei Wii manake ingekuwa wale wengine, ingekuwa keshapigwa kisu mbuzi wangu!
Yupo kambi gani mkuu ili nikamchukue kesho?!
😂😂😂😂😂😂😂😂Kuwa mnene enzi za mwalimu ilikuwa ni uhujumu uchumi...watu wanene kama mzee yote mema wa pale misungwi walikuwa wakiitwa "mabwanyenye"