Kwanini enzi zetu hakukuwa na mtu mnene?

Dah...

Ama kweli Mungu ni mkubwa! Hivi unajua nilikuwa nimedata kwa kuhangaika kutafuta alikokuwa huyu mbuzi?!

Hapa ndipo ninapoipenda Jei Wii manake ingekuwa wale wengine, ingekuwa keshapigwa kisu mbuzi wangu!

Yupo kambi gani mkuu ili nikamchukue kesho?!
Lugalo mkuu
 
Back
Top Bottom