Kuna topic iliwahi kuwekwa humu juu ya gharama kubwa wanayotoza hawa DSTV kwa package zake. Nafikiri ni kwa kuwa hawana mshindani. Otherwise hizo gharama haziko justified. Kule North Africa na middle East wanatumia Eljazeera Sports siku hizi inaitwa "be in sports" malipo ni dola 12 kwa mwezi na wanaonyesha channel zile zile za mpira na michezo mingine. Kwa nini hapa kwetu iwe zaidi ya dola 70?
Tiba
starehe gharama
Kama ipi na ipi mkuu za nje tofauti na za ndanicha ajabu channel nyingi za dstv,hawa star times wanazo. Labda ni hiyo hakimiliki ya kuonyesha world cup tu!
hapo mdau umenena ni kama vile GTV walivyokuja kidogo walionyesha upinzani sema hawakuwa wamejipanga stahilikaTatizo ni kukosekana kwa wapinzani wadau...makampuni mengine yakija mambo yatabadilika..hata gharama za simu zilikuwa hivyo hivyo.....
Kuna topic iliwahi kuwekwa humu juu ya gharama kubwa wanayotoza hawa DSTV kwa package zake. Nafikiri ni kwa kuwa hawana mshindani. Otherwise hizo gharama haziko justified. Kule North Africa na middle East wanatumia Eljazeera Sports siku hizi inaitwa "be in sports" malipo ni dola 12 kwa mwezi na wanaonyesha channel zile zile za mpira na michezo mingine. Kwa nini hapa kwetu iwe zaidi ya dola 70?
Tiba
Tiba hata dstv huko kwao south africa bei ni poa sana, hapa ni shamba la bibi huko kwao ni kama usd 30Kuna topic iliwahi kuwekwa humu juu ya gharama kubwa wanayotoza hawa DSTV kwa package zake. Nafikiri ni kwa kuwa hawana mshindani. Otherwise hizo gharama haziko justified. Kule North Africa na middle East wanatumia Eljazeera Sports siku hizi inaitwa "be in sports" malipo ni dola 12 kwa mwezi na wanaonyesha channel zile zile za mpira na michezo mingine. Kwa nini hapa kwetu iwe zaidi ya dola 70?
Tiba
Arusha mkuuMilan cable mkoa gani?
Tiba hata dstv huko kwao south africa bei ni poa sana, hapa ni shamba la bibi huko kwao ni kama usd 30
Dstv wakipunguza gharama za "full installation" watapata wateja wengi kwani watu wengi wanaweza kulipa angalau package ya access ambayo tshs. 16,000 kwa mwezi ambayo ni karibu sawa tu tv station nyingine.
ok nilishtuka nikidhani kufungiwa ni 10 mil lol!!Mil 10 kabisaa,nafungua biashara yngu ya maana kabisa,eti king'amuzi hehee,millan cable juu,naangalia mechi kwa rah zangu khaaa!
Mkuu sio kila mwezi ni kila siku..wanaangalia rate kila siku asubuhi kabla hawajafungua ofisi zao...ole wako ulipie online kwa rate ya jana ,huo usumbufu utakaoupata utajuta...usikute imepungua dola moja tu...system haina msamaha..na mpaka ufanikiwe kulipa iyo ilopungua na kupata channel utakuwa ushapiga simu sanaaa.
Wameondoa malipo kwa dola sasa unalipa kwa Tsh.
Tiba hata dstv huko kwao south africa bei ni poa sana, hapa ni shamba la bibi huko kwao ni kama usd 30
Dah !!! Kama ni kweli southafrica dstv wanachaji dola 30 na sisi huku dola 78 sio haki kabisa....😡