MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,320
- 6,376
Hwa jamaa wanatumia nguvu sana kumnadi Kikwete! Ni kama wanamsindikiza askari mlemavu wa akili kwenda vitani! Pamoja na mbwe mbwe zote hawana imani maana upepo umegeuka sana. Nimepokea sms ikiwa na ujumbe wa kumkashfu Dr Slaa..... kama wengine kutoka "+3588108226" Nimepiga haipatikani nimetext sms haijawa delivered (Niweka matusi na kuwaambia sidanganyiki)
Kwa kweli Kinana na timu yake wanashangazwa!
Wozoza hiyo namba hata mimi nilifanya hivyo ila sasa imekula kwao kwani ni wao wao wanaomwaga damu sasa.