ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
uwongo na chuki ndo kazi ya huko magambani, kimesera toka lini akawa mchaga?Ukiona hivyo VICTOR KIMESERA ni MCHAGA..
CDM haina maisha marefu jamani..
uwongo na chuki ndo kazi ya huko magambani, kimesera toka lini akawa mchaga?Ukiona hivyo VICTOR KIMESERA ni MCHAGA..
CDM haina maisha marefu jamani..
Ndugu wanajamvi naomba mnisaidie kwa yule anayejua kwa nini dr slaa akisafiri ofisi humwachia mkurugenzi wa utawala ndugu victor kimesea lakini majukumu yote ya kiutendaji huachiwa mnyika.
swali langu la msingi kwa nini anayeachiwa ofisi asiachiwe na majukumu yote ya slaa kiutendaji au anamapungufu gani kwenye utendaji mpaka aachiwe ofisi pekee bila majukumu.
Lakini pia kwa nini dr slaa hamwachii msaidizi wake kwa maana ya naib katibu mkuu kijana aliyeaga kwao zitto kabwe au naye ananini?
Jambo kubwa la kujiuliza kwa nini ofisi aachiwe victor halafu majukumu mnyika hiki ni kitu gani sikielewe.
Ndugu wanajamvi naomba mnisaidie kwa yule anayejua kwa nini dr slaa akisafiri ofisi humwachia mkurugenzi wa utawala ndugu victor kimesea lakini majukumu yote ya kiutendaji huachiwa mnyika.
swali langu la msingi kwa nini anayeachiwa ofisi asiachiwe na majukumu yote ya slaa kiutendaji au anamapungufu gani kwenye utendaji mpaka aachiwe ofisi pekee bila majukumu.
Lakini pia kwa nini dr slaa hamwachii msaidizi wake kwa maana ya naib katibu mkuu kijana aliyeaga kwao zitto kabwe au naye ananini?
Teh teh teh! Nimecheka sana kweli JF kuna vituko Rais anamgwaza kimesera¤ mbavu zangu.Victor Kimesera ni moja ya watendaji wakuu wa chama. Kwa taarifa yako Kikwete anamgwaya sana Kimesera
Ukiona hivyo VICTOR KIMESERA ni MCHAGA..
CDM haina maisha marefu jamani..
Kwanani?Jambo kubwa la kujiuliza kwa nini ofisi aachiwe victor halafu majukumu mnyika hiki ni kitu gani sikielewe.
wewe ni sawa na mgonjwa aliyeko ICU anayeomba kwenda Beach kupunga upepo.Kumbe ukiongelewa sana, umewashika watu pabaya? Hongera sana JK maana wewe utakuwa unaongoza kwa kuwashika pabaya Ma-CHADEMA
Mkuu kama huna unachojua bora kaa kimywa subiri chakula kiive uletewe ni busara pia kukaa kimywa kama hujui kitu.
Katika watu wajinga hakika wewe ni nambari one! Hivi akimuachia shemeji yako ndo ungefurahi? Tatizo unaitazama cdm kama cdm pole!Ndugu wanajamvi naomba mnisaidie kwa yule anayejua kwa nini dr slaa akisafiri ofisi humwachia mkurugenzi wa utawala ndugu victor kimesea lakini majukumu yote ya kiutendaji huachiwa mnyika.
swali langu la msingi kwa nini anayeachiwa ofisi asiachiwe na majukumu yote ya slaa kiutendaji au anamapungufu gani kwenye utendaji mpaka aachiwe ofisi pekee bila majukumu.
Lakini pia kwa nini dr slaa hamwachii msaidizi wake kwa maana ya naib katibu mkuu kijana aliyeaga kwao zitto kabwe au naye ananini?
Ndugu wanajamvi naomba mnisaidie kwa yule anayejua kwa nini dr slaa akisafiri ofisi humwachia mkurugenzi wa utawala ndugu victor kimesea lakini majukumu yote ya kiutendaji huachiwa mnyika.
swali langu la msingi kwa nini anayeachiwa ofisi asiachiwe na majukumu yote ya slaa kiutendaji au anamapungufu gani kwenye utendaji mpaka aachiwe ofisi pekee bila majukumu.
Lakini pia kwa nini dr slaa hamwachii msaidizi wake kwa maana ya naib katibu mkuu kijana aliyeaga kwao zitto kabwe au naye ananini?
Ndugu wanajamvi naomba mnisaidie kwa yule anayejua kwa nini dr slaa akisafiri ofisi humwachia mkurugenzi wa utawala ndugu victor kimesea lakini majukumu yote ya kiutendaji huachiwa mnyika.
swali langu la msingi kwa nini anayeachiwa ofisi asiachiwe na majukumu yote ya slaa kiutendaji au anamapungufu gani kwenye utendaji mpaka aachiwe ofisi pekee bila majukumu.
Lakini pia kwa nini dr slaa hamwachii msaidizi wake kwa maana ya naib katibu mkuu kijana aliyeaga kwao zitto kabwe au naye ananini?
Ndugu wanajamvi naomba mnisaidie kwa yule anayejua kwa nini dr slaa akisafiri ofisi humwachia mkurugenzi wa utawala ndugu victor kimesea lakini majukumu yote ya kiutendaji huachiwa mnyika.
swali langu la msingi kwa nini anayeachiwa ofisi asiachiwe na majukumu yote ya slaa kiutendaji au anamapungufu gani kwenye utendaji mpaka aachiwe ofisi pekee bila majukumu.
Lakini pia kwa nini dr slaa hamwachii msaidizi wake kwa maana ya naib katibu mkuu kijana aliyeaga kwao zitto kabwe au naye ananini?