Kwanini Dikteta Castro anapendwa sana?

Kwanini Dikteta Castro anapendwa sana?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Kama kuna dikteta anayependwa na kusifiwa basi ni Fidel Castro, Madikteta wote Duniani huchukiwa na kukejeliwa kuanzia Hitler, Stalin mpaka Kim wa Korea Kaskazini lkn siyo Castro, leo hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa miaka 90, Dunia nzima wanamuandika positive tena Wazungu wenzake wa magharibi ambao bni Mabepari hawamuiti Dikteta bali wanamuita Revolutionary leader au Mwanamapinduzi sasa unajua ni kwa nini Castro anapendwa na kusifiwa na Wazungu wa Magharibi ambao ni Mabepari?

Ni kwa sababu Fidel Castro ni Myahudi na kwa kuwa Dunia imeshikwa na Wayahudi kuanzia media, Mabenki mpaka Wanasiasa basi ni mwiko kumsema vibaya Myahudi, kuna sababu kwa nini Obama kama Raisi wa USA nchi ambayo ni adui namba moja wa Ukomunisti amekwenda kumtembelea Fidel Castro!
 
Kama kuna dikteta anayependwa na kusifiwa basi ni Fidel Castro, Madikteta wote Duniani huchukiwa na kukejeliwa kuanzia Hitler, Stalin mpaka Kim wa Korea Kaskazini lkn siyo Castro, leo hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa miaka 90, Dunia nzima wanamuandika positive tena Wazungu wenzake hawamuiti Dikteta bali wanamuita Revolutionary leader au Mwanamapinduzi sasa unajua ni kwa nini Castro anapendwa na kusifiwa na Wazungu?

Ni kwa sababu Fidel Castro ni Myahudi na kwa kuwa Dunia imeshikwa na Wayahudi kuanzia media, Mabenki mpaka Wanasiasa basi ni mwiko kumsema vibaya Myahudi!
Wala hapendwi hata kidogo. Watu hawana pa kusemea. Nimekaa na Wacuba huko Japan wanasema ukweli, unaona wana shida ila wasemee wapi! Fyokofyoka, cha mtema kuni etc. Wote walikuwa wanatafuta nafasi za kutorudi. Actualy wasichana walipata wavulana wakaoana haraka haraka wakabaki. Unamuuliza Cuba si kuna raha zote , anasema "Nyumba ya Jirani............"
 
Huo utafiti umeufanyia Lumumba? Au umeamua kutuaminisha kitu kisicho na ukweli
 
Kama kuna dikteta anayependwa na kusifiwa basi ni Fidel Castro, Madikteta wote Duniani huchukiwa na kukejeliwa kuanzia Hitler, Stalin mpaka Kim wa Korea Kaskazini lkn siyo Castro, leo hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa miaka 90, Dunia nzima wanamuandika positive tena Wazungu wenzake hawamuiti Dikteta bali wanamuita Revolutionary leader au Mwanamapinduzi sasa unajua ni kwa nini Castro anapendwa na kusifiwa na Wazungu?

Ni kwa sababu Fidel Castro ni Myahudi na kwa kuwa Dunia imeshikwa na Wayahudi kuanzia media, Mabenki mpaka Wanasiasa basi ni mwiko kumsema vibaya Myahudi!


Castro, dikteta?????!!!!! Sawa ni dikteta kwa mtazamo wa nchi za magharibi na wale wanaochukulia mtazamo wa nchi hizo kuwa ndiyo unaostahili kuiongoza dunia....
 
Huu uzi unataka kuelezwa zaidi ya unavyojua au ndio umetuleza tutosheke hivyo? Jipange utupe kitu kwa undani
 
Umetumia kigezo gani kutuaminisha upendo anaopewa castro..
 
Dikteta uchwara nae mhayudi I guess... Mnavyo mpenda wazungu wa lumumba.
 
Taifa kama Tanzania, kwa muda mrefu lilihtahiji angalau dictator uchwara. Na wapinzani has Mnyika, Slaa na Lisu wametusaidia sana kufikisha hapa tulipo. Mnyika alijisemea kwa uwazi kabisa mbele ya vyombo vya habari, kuwa tulifika hapo tulipokuwepo kwa sababu ya uongozi legelege wa JK. Mnyika alikuwa alituaminisha kuwa taifa la Tanzania halihitaji tena kiongozi legelege. CCM washukuriwe wan hazina kubwa, wakaitikia nyimbo za akina lisu, slaa, mnyika, msigwa waktuletea JPM. Sasa kumbe walotuimbisha kale kwimbo kalikovuta hisia za watanzania "Mabadilikooooo" walidhani mabadiliko yakija hayawahusu. haya to mabadiliko
1. wana ccm wanpelekwa mahakamani kujibu tuhuma-nao wansema hatukutegemea maana hatukuzoea
2. Wana ccm wanatimuliwa vibarua kama kumfukuza kuku anadonoa mahindi, wamebaki wameduwaa
3. wana ccm ambao kila baada ya miezi 6 walienda uhamiaji kuomba passport mpya maana ilishajaa safari za dubai, marekani, sasa ni miezi 8 hata bagamoyo anasa
4. wanaccm ndani ya chama, kitumbua kinaingia nyogo, UVCCM wanafukuzana kazi, UWT bado wapo wapo kwanza, lakini matumbo moto
5. walotunga wimbo wa mabadilko CDM wameambiwa sasa ni kazi tu politike baadae nao wameshtuka, vibwagizo vya ufisadi havina mvuto tena
6. walotunga wimbo wa mabadiliko CDM nao wameingia mtegoni, politike 2020
ILA NAWASIFU CDM, NI BONGE LA WASANII, WASHATENGENEZA SCRIPT, SINGLE YAO MPYA "UKUTA" UZINDUZI TAREHE MOSI SEPTEMBER.
Kazi kwenu watanzania
 
Anapendwa kwa sababu ni dikteta na anatetea haki za wananchi wake.
Castro anatetewa na historia yake nchini mwao. Aliwatoa mbali sana hasa kwa kuuondosha utawala kandamizi wa Dikteta Fulgencio Batista mwaka 1959, mwezi Januari. Jinsi alivyoingia madarakani ndio kinachompa haki ya kihistoria nchini Cuba. Maandamano ya Santiago De Cuba 1957 na shambulio lililoshindwa dhidi ya kituo cha kijeshi cha Moncada baada ya hapo vilimpa umaarufu. Hotuba yake mahakamani "La Historia Mel Absolvera" yaani "Historia Itanitetea" baada ya kukamatwa vilimpa nafasi katika historia ya Cuba, japo alifungwa kwa makosa ya uasi katika kisiwa cha mananasi "Isle of Pines". Maandamano ya wananchi yalimtoa kifungoni na kuhamishiwa Mexico ambako toka huko alirudi kuikomboa Cuba. Alifuta ujinga ndani ya miaka miwili na Cuba ikawa nchi ya kwanza kufuta ujinga duniani. Alichoma mashamba yote ya sukari ya Kikabaila na kuyapanda upya na Cuba ikarejea wakati huo kuwa nchi inayozalisha wa wingi sukari duniani kwa mashamba ya kijamaa. Aliushinda uvamizi wa Rasi ya Nguruwe ama "Bay of the Pigs" ulioongozwa na Marekani wa mwaka 1961. Ameyashinda majaribio ya CIA karibu ya mia moja ya kumwua na mengine mengi. Mambo hayo huwafanya watu wampende kiongozi wao. Kinachoendelea Cuba ni jitihada zake za kukabiliana na vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa. Daima vikwazo ni kuwafanya wananchi wamchukie kiongozi wao na iwe rahisi kumpindua - chuki pandikizi sio ile inayoanzia ndani. Yeye alishinda kile ambacho mabeberu walifaulu kwa Allende, Saddam, na Gadhafi. Vikwazo vya kiuchumi vinapandikiza chuki dhidi ya mtawala kwani sukari hakuna, vifaa hakuna, madawa hakuna na chakula hakuna. Hiyo sio chuki asilia unayoweza kuisemea na kuipangia hoja nzito kama hii. Makosa ya watu kama Castro ni kukaa madarakani muda mrefu mpaka watu wanakuchoka na unaanza kupoteza mwelekeo.
 
Mkuu umeongea ukweli lakini ninachojua huyo jamaa uwasikiliza sana watu wake kuliko chochote katika maisha yake
 
Kama kuna dikteta anayependwa na kusifiwa basi ni Fidel Castro, Madikteta wote Duniani huchukiwa na kukejeliwa kuanzia Hitler, Stalin mpaka Kim wa Korea Kaskazini lkn siyo Castro, leo hii anasherehekea siku yake ya kuzaliwa miaka 90, Dunia nzima wanamuandika positive tena Wazungu wenzake hawamuiti Dikteta bali wanamuita Revolutionary leader au Mwanamapinduzi sasa unajua ni kwa nini Castro anapendwa na kusifiwa na Wazungu?

Ni kwa sababu Fidel Castro ni Myahudi na kwa kuwa Dunia imeshikwa na Wayahudi kuanzia media, Mabenki mpaka Wanasiasa basi ni mwiko kumsema vibaya Myahudi!
Mkuu una mawazo ya kupandikizwa!
Nani kamwambia Fidel Castro ni dikteta!
Watu msiojua historia mtamini kila kitu na kunyonya uchafu kama sponji kwenye maji.
 
Back
Top Bottom