Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
KWANZA KABLA HUJAENDELEA FUTA KAULI YAKO CASTRO SIYO MYAHUDI
Mkuu una mawazo ya kupandikizwa!
Nani kamwambia Fidel Castro ni dikteta!
Watu msiojua historia mtamini kila kitu na kunyonya uchafu kama sponji kwenye maji.
KWANZA KABLA HUJAENDELEA FUTA KAULI YAKO CASTRO SIYO MYAHUDI
Mkuu umekua yamini na mabeberu au waliokusomesha bure ulaya au vipi?Nimemuita dikteta kwa maana ni Kiongozi ambaye anaongoza nchi isiyo na vyama vingi na wala hakuna uchaguzi, na hakuna maana nyingine ya udikteta kama ipo niambie, hata Mlm.Nyerere wkt wa Chama kimoja alikuwa ni dikteta, hiyo ndiyo maana ya udikteta!
Yaani Kiongozi ambaye hajachaguliwa na wananchi aidha kaingia kwa nguvu ya kupindua Serikali au karithishwa na bila ya kufanyika uchaguzi kama Theresia May!
Mkuu umekua yamini na mabeberu au waliokusomesha bure ulaya au vipi?
Kwa definition yako basi Putin anaingia kundi hilo kama ilivyo Xi Ping wa China na Malkia wa Uingereza na vile vile Al Sisi wa Egypt na wengine wengi sana.
Na kwa definition hiyo hiyo, uhuru uliopiganiwa na mababa zetu kina Nyerere, Samora, Kaunda, Neto , Obote, Kenyatta basi waifanya hivyo kidikteta dikteta!
You have avery narrow view of world politics, don't allow yourself to be fed political trash from the West.

Kama source ni Wikipedia we ulitakajeCastro, dikteta?????!!!!! Sawa ni dikteta kwa mtazamo wa nchi za magharibi na wale wanaochukulia mtazamo wa nchi hizo kuwa ndiyo unaostahili kuiongoza dunia....
Respect to themJamaa alisoma science viva Revolutionarist Fidel RIP Che

Ccm ya hii maada vinaingiliana vipi au akili zilishaoza kwa kila kitu kufikiria ccmCCM ina Dhambi sana!

Nia Mnyeramba wa igugunoKWANZA KABLA HUJAENDELEA FUTA KAULI YAKO CASTRO SIYO MYAHUDI
Bila CCM mtoa mada asingekuwa mjinga kiasi jicho!Ccm ya hii maada vinaingiliana vipi au akili zilishaoza kwa kila kitu kufikiria ccm![]()
![]()
![]()
![]()
La!Bila CCM mtoa mada asingekuwa mjinga kiasi jicho!