Hakuna wabunifu hapa Tanzania ndiyo sababu kuu kila mtu anataka kutengeneza apps kwa mfumo ule ule hakuna wa kubuni tofauti.
labda ndio rahisi kutumia
Sijaelewa hapo, ulikua unataka kufananisha php/python na css au?
Kaka yuko vizuri huyu, sijui ameshakufaBy design.Hii ni subjective.
Nnavyojua fb kwenye server zao hawatumii php tu.... Kuna c++, hack, java etc
Kumbuka fb ilianzishwa mwaka 2005 au 2004 by then django, RoR, node js hazikuwepo... Wenda fb ingeanzishwa miaka ya karibun isingegusa php...
mkuu kwann serikali inapenda kutumia c# na java?
Una maana ya mimi? Nipo, sijatwaliwa.Kaka yuko vizuri huyu, sijui ameshakufa
Una maana ya mimi? Nipo, sijatwaliwa.
Jukwaa hili limepoteza mvuto wake wa asili tu!
Jibu lipo very clear kwa kuongezea kwa mtaalamu wa programming hawezi kujadili kwa nn PHP hutumika mara kwa mara in developing system. But, kwa mtaalamu halisi anafahamu kuna only three levels of languages.Nafikiri kuna Non PHP websites Tanzania ambazo zimekua Open kufunguliwa kwa end users!
Na hizi zilishawai kuwekwa hapa!
1. TTCL website yake ni ASP.NET
2. TTCL service portal ni Java Servlet
3. Tigo Recharge Portal ASP.NET
4. Vodacom recharge portal ni JSP pia
5. TRA Motor vehicle Tax valuation ni ASP.NET
6....... n.k
hizo ni chache ambazo labda mimi nimekutana nazo na nirahisi ku deduce kutoka kwa nje!
Kwa hiyo observation unaweza ona kuwa web systems nyingi Tanzania zipo kwenye Java na C#
Hizo za serikali unazosema ni PHP labda ni kutoka na age na developers wameamua ku maintain lugha ilotumika mwanzo!
Tukija kwa individual Level PHP is cheap to deploy online unaweza jifunza hizo Djngo sijui vitu gani na ukashindwa au ukahangaika kui deploy online.
Ila a simple google search utapata Host kibao wa PHP na the like.
Nafikiri tusiwe taken up na hizo quotes za hao jamaa kuna reason(S) tuangalie uhalisia wa hapa kwetu!
Tulishauri mapema na mapendekezo tukatoa. Lakini wakuu wa humu hawakuona ya muhimu. Watu serious hupita tu na mara chache kutia neno. JF ya sasa sio kama ile ya zamani, ubora umepotea, ni kama iko out of control hivi, unfortunately!Umeongea point kubwa mkuu, yaan jukwaa la tech limepoteza radha cjui kwa nn?
Tulishauri mapema na mapendekezo tukatoa. Lakini wakuu wa humu hawakuona ya muhimu. Watu serious hupita tu na mara chache kutia neno. JF ya sasa sio kama ile ya zamani, ubora umepotea, ni kama iko out of control hivi, unfortunately!
Imagine nimeondolewa access ya kuanzisha mada mpya na mimi hata sikujua mpaka hivi karibuni. Sijui nilikuwa nataka kuandika nini, nikajikuta sina button ya new thread. Nikapotezea nilichotaka kufanya 🙂
Imeniongezea muda wa kufanya mambo mengine na kubakia msomaji ... good for my health 😉Pole sana mkuu... watumie Email wakufungulie utupe madini
Latest PHP version 7.2
Ni kali, imeboreshwa sana.
8.2
Hii nakataa,ubunifu na development ni mambo mawili tofauti,developer kazi yake ni kufanya creativity ya mtu mwingine ambayo ndio kazi yenyewe iweze kuwa katika mfumo unaoweza kutambuliwa na computer,mfano mimi sijui chochote kuhusu chcochote kuhusu programing,lakini ni na uwezo wakubuni wazo la teknolojia ama mtumo,fully,,Hakuna wabunifu hapa Tanzania ndiyo sababu kuu kila mtu anataka kutengeneza apps kwa mfumo ule ule hakuna wa kubuni tofauti.
Watu wengi programming languages wanajifunza wakimaliza chuo, so wanajichagulia wao, kama wengi wanafanya php labda ni kwasababu soko la Tz linataka hivyo...Nikutakie kila la heri ndugu, ila pia huko madarasani hata kama mnafundisha php pekee ila muwe mnawaambia duniani haiko php peke yake ziko nyingine sio wanatoka chuoni na kukomaa na php tu!!