Kwanini developers wengi Tanzania wanapenda kutumia PHP?

Php haiezi kutengenezea application kama whattsap au telegram.. Sio nzuri sana katika kunandle multi-billion server requests ndo maana haitumiki huko


Yap ndio maana nikasema ni most popular hapa bongo kufanya Web development cause, most wep Apps huku ni CRUD
 
Php haiezi kutengenezea application kama whattsap au telegram.. Sio nzuri sana katika kunandle multi-billion server requests ndo maana haitumiki huko

You can bro, as a backend service that receives web requests from your app.
That says you can build a whatsapp like app with PHP combined with other modules.
 
Hakuna wabunifu hapa Tanzania ndiyo sababu kuu kila mtu anataka kutengeneza apps kwa mfumo ule ule hakuna wa kubuni tofauti.
Mkuu kama hujaelewa mada ni bora ungekaa kimya tu, ubunifu na programming language ni wapi na wapi? Kwenye programming kuchagua language ya kutumia haihitaji ubunifu
 
Kwani hapo kamjibu mtoa mada?
 
Yan in short jua kwamba kutumia language flan...inategemea na requirements za system ambayo anatakiwa a develop ...yan swali lako ni sawa na kuuliza kwann mtu akitoka ubungo kwenda mbagala anapanda daladala na asipande ndege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kwann serikali inapenda kutumia c# na java?


 
Php haiezi kutengenezea application kama whattsap au telegram.. Sio nzuri sana katika kunandle multi-billion server requests ndo maana haitumiki huko
Umesema haina uwezo wa kunandleb mult-billion sever request

Kwa maana hiyo facebook huo uwezo haina maana php imetumika pale
 
Php haiezi kutengenezea application kama whattsap au telegram.. Sio nzuri sana katika kunandle multi-billion server requests ndo maana haitumiki huko
Kwa maana hiyo unaposema php sio mzuri sana kunandle mult-billion sever request

Kwa hiyo Facebook haina uwezo huo maana Php imetumika pale
 
Unatengeneza nini na itatumikaje? Hicho ndio cha muhimu language yeyote utakayoitumia na ikatoa app vizuri kama ulivyoplan hio ndio the best...kumbuka hakuna bad language.. Ni unataka kutengeneza nin?
My rake: wanafunzi wengi wa Tz ( nikiwemo) tunadhani kujua language nying ndio ungangari na ndio uprogrammer...hapana, kuwa na idea nzuri ya project unayotaka kuifanya na utagundua huitaji kujua language nyingi unaitaji kujua VIZURI moja au mbili...mfano binafsi toka nianze kujihusisha na MCU C/C++ inafanya yote na very powerful unatengeneza mpk GUI nzuri kabisa...ushauri wangu ni angalia project unayoona itakutoa kimaisha alafu fanyia kazi
 
Kwa maana hiyo unaposema php sio mzuri sana kunandle mult-billion sever request

Kwa hiyo Facebook haina uwezo huo maana Php imetumika pale
Nnavyojua fb kwenye server zao hawatumii php tu.... Kuna c++, hack, java etc

Kumbuka fb ilianzishwa mwaka 2005 au 2004 by then django, RoR, node js hazikuwepo... Wenda fb ingeanzishwa miaka ya karibun isingegusa php...
 
Kama Jamii forums nayo inatumia PHP basi PHP ni mzuri sana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…