Watu wengi wa dar wameadhiriwa sana na wadharamu awapendi kufanya kazi kwa bidii, wanapenda sana kuombaomba na hilo ndio tatizo kubwa
Heheheheh kama Dar watu hawafanyi kazi , hivi viwanja na makampuni sijui kwann yapo huku?
Mbona miji mingi tu dunian haishughulikii siasa